Nakiona cha moto Tazara junction muda huu!

Nakiona cha moto Tazara junction muda huu!

And ndo nahamishiwa dar, nataka ninunue Daihatsu terios kid cc600 ndo itanifaa, au bajaj qute nimeziona opp na quality plaza pale. Tterios inakula 20 kwa lita baja inakula 35 kwa lita na ina matairi 4
images%20(1).jpg
 
Mi usafiri wangu ni daladala, nikiona vipi napeta kwa miguu, nikiona vipi bodaboda fasta niko home ukiwa na usafiri wako huwezi kufania.
 
Tangu saa moja na nusu usiku huu, hadi muda huu nikiwa natokea Tabata mataa, sijavuka Tazara, na sasa inaingia saa nne hii, tuoneeni huruma jamani, kama flyover imekamilika ifunguliwe jamani, tunaumia..!
Barabara aifunguliwi mpaka kifike kipindi cha uchaguzi. Wafanye mbwembwe za kuwafurahisha wakina Mama na wazee
 
Back
Top Bottom