gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,053
Hahahahamkuu shuka uniunge cha arusha nipo hapa kwenye carvat utaona mosh mosh
Hahahahamkuu shuka uniunge cha arusha nipo hapa kwenye carvat utaona mosh mosh
Ajitwishe kichwani auHapo gari lazima ulione mzigo
Unaona ndege kitu cha ajabu wewe tu unaepanda?Jf kila mtu anapanda ndege
Thubutu.Jiwe atatuletea na sisi.
Jf kila mtu tajiri, msomi na mwenye akili nyingiJf kila mtu anapanda ndege

Kwahiyo tuseme anayetoka ubungo kwenda tanga anafika mapema kuliko anaetoka tabata kwenda eapotiHiyo njia uwa sipiti nina muda mrefu yani kukaa foleni masaa 4 kawaida,kuna siku nilikuwa nimetoka ubungo kwenda gongo la mboto nilikaa masaa matano mpaka mhusika nilikokua naenda nilimkosa.
Kama si cha ajabu vp watu wajae uwanjani kuipokea?Unaona ndege kitu cha ajabu wewe tu unaepanda?
Ha haaaJf kila mtu tajiri, msomi na mwenye akili nyingi
Na kwa hali hiyo ndio tujue kuwa Ubungo na Tazara flyovers ni muhimu kwa uhai wa taifa hili, bila hayo madaraja kujengwa uchumi wa taifa hili ni lazima ungeteketea tuHiyo njia uwa sipiti nina muda mrefu yani kukaa foleni masaa 4 kawaida,kuna siku nilikuwa nimetoka ubungo kwenda gongo la mboto nilikaa masaa matano mpaka mhusika nilikokua naenda nilimkosa.
Ni mateso makali sana tunapata, hiyo flyover kwanini haifunguliwi?!Aiseee...
Nimetoka Kilwa saa 17:33
Nimeingia Kongowe saa 20:00
Nimeingia mbagala saa 21:10
Nimeingia hii barabara ya kuelekea liliko daraja la TAZARA saa 21:30, mpaka sasa niko opposite na Sunshare.
Tutapata tabu sana
Unatamani kulibeba mgongoniHapo gari lazima ulione mzigo
Gari zinazo paa angani kutinga showrooms mwakaniMy bad my bad. The Rolex rolodex roolls the Rolls Royce.
Umebaki wewe tu ambaye bado unapanda ungo 🙄Jf kila mtu anapanda ndege
Ushaambiwa foleni hadi masaa ma5, unafika tanga na kupata mlo wa mchana , na uliemuacha Dar hajafika anakoenda, hii nchi kuna maajabu nyie..Kwahiyo tuseme anayetoka ubungo kwenda tanga anafika mapema kuliko anaetoka tabata kwenda eapoti
Wewe ndo unaona ndege kitu cha ajabu kakaJf kila mtu anapanda ndege
Tiketi hiyo hapoJf kila mtu anapanda ndege