FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,516
- 46,603
Tangu saa moja na nusu usiku huu, hadi muda huu nikiwa natokea Tabata mataa, sijavuka Tazara, na sasa inaingia saa nne hii, tuoneeni huruma jamani, kama flyover imekamilika ifunguliwe jamani, tunaumia..!