Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Mnakaribishwa...
Hope Judgment na Goodluck wanafahamiana..
hehehe! Sidhani kama wanafahamiana. Ngoja nimuite judge nifanye utambulisho.
Mnakaribishwa...
Hope Judgment na Goodluck wanafahamiana..
Sasa ni kipi kinachokukera hapo wakati umesema ana uhusiano wa kudumu? Natarajia wa kudumu maana ana boyfriend wanaishi pamoja au anae mume.
Kweli kabisa. Lile jukwaa ukikaa nusu saa tu utafura kwa hasira na BP juu. Bora huku.
Sasa ni kipi kinachokukera hapo wakati umesema ana uhusiano wa kudumu? Natarajia wa kudumu maana ana boyfriend wanaishi pamoja au anae mume.
umeona eeh! Yaani kule mi huwa nasoma kabla sijasign in. Unaweza ukashikwa na mahasira umporomoshee mtu matusi ulambwe ban.
Karuka kimanga.....
Ana mahusiano parmenent.......
Acha ujinga katafute mtu ambaye hata kupotezea muda na utakuwa na mamlaka nae.
Kwa huyo hata akikubalia utakuwa mshika pembe tu na dogo inaonekana una wivu sana.
wa jinsia gani wewe na umri wako vipi umemaliza seven kweli؛Ni rafiki mpya,ingawa hajawa mpenzi wangu..maana ana mahusiano na mtu mwingine.
Ila,hatuishi kujuliana hali karibu kila siku. Sasa tunapomaliza maongezi,akiwa anataka kuondoka,anamuita dereva fulani kijana aliyemzoea...
Amekuwa akifanya hivyo mara nyingi.. Mpaka nakerwa driver yule anapokuja..
Nimemuuliza kama wana mahusiano,akaruka kimanga kwamba hana!
Ila naomba muelewe kuwa mi niko "single",yeye ana mahusiano,nayoweza kuyaita ya kudumu,na vilevile tunapenda kupeana "company"...
Je,ni tatizo la ajabu?
Ama la kawaida?
Ama vipi?
Wewe bwana mdogo unajifunza mapenzi nini!!!! Jambo unalouliza ni la kipuuzi tu. Ndiyo maana wengine wamekujibu kwamba wanapita tu.
Ahsante..ila hujanisaidia..
Na udogo unarefer vipi? Au namna gani? Kiumri au kimapenzi?
Ptuuuuu, upuuzi tu! Ndiyo tatizo la jf vitoto vidogo vinajumuika na wakubwa.
umeupenda ushauri wangu trach?
Kweli kabisa. Lile jukwaa ukikaa nusu saa tu utafura kwa hasira na BP juu. Bora huku.
hehehe! Sidhani kama wanafahamiana. Ngoja nimuite judge nifanye utambulisho.
mi pia nimemshangaa. Mtu ambaye huna uhusiano nae unamuoneaje wivu! Ila tusimlaume, binadamu tunatofautiana.
umeona eeh! Yaani kule mi huwa nasoma kabla sijasign in. Unaweza ukashikwa na mahasira umporomoshee mtu matusi ulambwe ban.
wa jinsia gani wewe na umri wako vipi umemaliza seven kweli؛