Half London
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 261
- 115
Habari wana JF? Kiukweli hili tangazo la share Coke with...huwa linanikera pale ninapolisikia redioni. Inaonekana anayeita mamaaa....mamaaa...nini mwanangu? Umempa (sina uhakika na jina) yenye jina halafu mimi hujanipaaa.... Ni wale watoto wanaodeka wakiwa wakubwa. Ile sauti ni ya mtu mzima kabisa. Bora wangeweka hata sauti ya mtoto mdogo tu. Samahanini na nyie kama nimewakera wanajamvi.