mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,271
Nimejiunga na Tigo muda si mrefu baada ya kununua modem yao, kinachonikera ni kuqa mara kwa mara mtandao unakatika yaani una kuwa hauna access. Inabidi kila mara ku click kwenye connect ili kuanza tena, imekuwa kero kwangu mpaka sasa nafikiria kurudi tena Zantel pamoja na matatizo yao ukiwa highlife ya kupiga simu kwa wiki si chini ya Tsh 5000 naona ni bora kwanza una speed kuliko mtandao wa Tigo ambao uko slow na hukatika mara kwa mara