Naunga mkono hoja wanaume wengi tuna haribiwa na saicoloji na stress na sio hayo matatizo wanayo tuvisha wauza dawa uume nikiungo Kama mkono au mguu unapo kula vizuri mkono hua na afya njema na unapo fanya mazoezi mkono Huo hupata nguvu zaidi na uume ni hivo kula chakula sahihi mazoezi kiasi chako fanya mapenzi hata mara mbili kwa wiki alafu jiangalie mabadiliko utayo yaona ,
Tatizo lipo kwa hao Wanawake unakuta mwanamke anachokonolewa uke hovyo mtu anatungwa vidole hovyo mtu anaingiza nusu ya mkono wake kwenye uke uchi unaregea na unakuta mwanamke hataki hata mkae mteke nyane ukifika tu anapaka mate alafu wewe mwanaume ndo anakupa mzigo anataka umrizishe utamrizisha vp mtu hana nyege kabisa,
Tuache kutumia madawa hovyo yata tuharibu figo zetu
Ndizi mbivu
Tikiti maji
Parachi chi
Tangawizi
Tende
Karanga
Maziwa
Mazoezi
Kunywa maji mengi
Ndo vitu muhimu nimetumia na bado natumia na nitazidi kutumia vitu hovyo