nakata tamaa na Western Medias

nakata tamaa na Western Medias

quimby_joey

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
391
Reaction score
175
Nimefatilia kwa karibu hali inayoendelea nchini Libya kuung'oa utawala wa Col. Ghadafi, nimekosa imani kabisa na vyombo vya habari vya kimagharibi (BBC, Sky News) pamoja na kile cha wamarekani (CNN) toka watangaze waasi wa libya wanashikilia asilimia 90 ya mji wa Tripoli wamekua wakitoa taarifa zisizo na uhakika pamoja na kutuonesha live nini kinachoendelea. Hizi ni baadhi:

i. Kwamba, waasi wanashikilia 90% ya mji wa Tripoli (BBC), CNN wanasema 80%
ii. Correspondents wa BBC toka juzi wanasema waasi wameuteka mji wote na hawatorudi nyuma wala hakuna vipingamizi walivyokutana navyo usiku wa kuamkia leo wanatuambia waasi itabidi wasikae Tripoli warudi kwani hali bado si shwari mji haujatulia kutokana na majeshi ya Ghadafi kushambulia (BBC,CNN).
iii. BBC, Sky News,CCN walitoa taarifa toka juzi kuwa watoto 3 wa Col. Ghadafi wamekamatwa na wanashikiliwa na waasi, alfajiri ya leo Saif Al-Islam kajitokeza hadharani na kukanusha kukamatwa kwake na kutoa taarifa kuwa babake yuko hai na salam na kwamba bado wanaushikilia mji wa Tripoli.
Je, nini maslahi ya vyombo hivi vya habari vya wazungu katika vita ya Libya, ilihali kulipotoka taarifa kuwa Afrika Kusini wamepeleka ndege yao kutorosha Ghadafi vyombo hivyo vya habari vilikuja juu kuilamu Afrika Kusini, ni wanachokitaka hawa watu?
 
Kuna maslahi ya kila upande katika media, all in all iwe leo au kesho Kadafi ataondolewa tu it is a matter of time.
 
Media ndio huwa inaamua mwelekeo wa vita kwa hiyo usihofu wanaotawala media ndio watashinda hata kama ushindi wao utachelewa

Sasa hivi Cameroon anawaza jinsi ya kuweka mabomba ya mafuta toka libya to uk through france.........Changanya na zako
 
rekebisha kichwa cha habari hakuna kitu kinachoitwa medias
 
Hawa Mabazazi ni majizi yaliyokubuhu usiyasikilize mkuu
 
Je, nini maslahi ya vyombo hivi vya habari vya wazungu katika vita ya Libya, ilihali kulipotoka taarifa kuwa Afrika Kusini wamepeleka ndege yao kutorosha Ghadafi vyombo hivyo vya habari vilikuja juu kuilamu Afrika Kusini, ni wanachokitaka hawa watu?

Kuhakikisha kuwa nchi za kimagharibi zinafanikiwa kuyatia mafuta ya Libya kibindoni na kusonga mbele kutwaa Syria na who knows pengine watakuja hapa kwetu watataka madini yawe yao hasa hasa uranium (mwenzio akinyolewa wewe tia maji)
 
Kuna maslahi ya kila upande katika media, all in all iwe leo au kesho Kadafi ataondolewa tu it is a matter of time.

Mie naomba mafuta yasigundulike mwambao wa Dark es Salaam maana wenyewe wakisema tunayataka ni yetu wewe ukibisha unakula kichapo na watakaoumia ni wasio na hatia.
 
Nimefatilia kwa karibu hali inayoendelea nchini Libya kuung'oa utawala wa Col. Ghadafi, nimekosa imani kabisa na vyombo vya habari vya kimagharibi (BBC, Sky News) pamoja na kile cha wamarekani (CNN) toka watangaze waasi wa libya wanashikilia asilimia 90 ya mji wa Tripoli wamekua wakitoa taarifa zisizo na uhakika pamoja na kutuonesha live nini kinachoendelea. Hizi ni baadhi:

i. Kwamba, waasi wanashikilia 90% ya mji wa Tripoli (BBC), CNN wanasema 80%
ii. Correspondents wa BBC toka juzi wanasema waasi wameuteka mji wote na hawatorudi nyuma wala hakuna vipingamizi walivyokutana navyo usiku wa kuamkia leo wanatuambia waasi itabidi wasikae Tripoli warudi kwani hali bado si shwari mji haujatulia kutokana na majeshi ya Ghadafi kushambulia (BBC,CNN).
iii. BBC, Sky News,CCN walitoa taarifa toka juzi kuwa watoto 3 wa Col. Ghadafi wamekamatwa na wanashikiliwa na waasi, alfajiri ya leo Saif Al-Islam kajitokeza hadharani na kukanusha kukamatwa kwake na kutoa taarifa kuwa babake yuko hai na salam na kwamba bado wanaushikilia mji wa Tripoli.
Je, nini maslahi ya vyombo hivi vya habari vya wazungu katika vita ya Libya, ilihali kulipotoka taarifa kuwa Afrika Kusini wamepeleka ndege yao kutorosha Ghadafi vyombo hivyo vya habari vilikuja juu kuilamu Afrika Kusini, ni wanachokitaka hawa watu?
Vyovyote iwavyo utawala wa Muamar Ghadafi ndo umeshafikia mwisho kwa sababu hadi hivi ninapoandika anapigania mji wa Tripol tu wakati yeye alikuwa mtawala wa nchi nzima. Na kwa taarifa yako ilikuwa ngumu sana kumzungumzia Ghadafi hovyohovyo nchini Libya lakini leo watu wanauwa hadi wajukuu zake na kumtukana waziwazi. Ni suala la muda tu kwani hakuna aliyeamini kwamba Gbagbo angeng'oka lakini yuko wapi? NGUVU YA UMMA NI NOUMA!!!!!!!!!!
 
Nimefatilia kwa karibu hali inayoendelea nchini Libya kuung'oa utawala wa Col. Ghadafi, nimekosa imani kabisa na vyombo vya habari vya kimagharibi (BBC, Sky News) pamoja na kile cha wamarekani (CNN) toka watangaze waasi wa libya wanashikilia asilimia 90 ya mji wa Tripoli wamekua wakitoa taarifa zisizo na uhakika pamoja na kutuonesha live nini kinachoendelea. Hizi ni baadhi:

i. Kwamba, waasi wanashikilia 90% ya mji wa Tripoli (BBC), CNN wanasema 80%
ii. Correspondents wa BBC toka juzi wanasema waasi wameuteka mji wote na hawatorudi nyuma wala hakuna vipingamizi walivyokutana navyo usiku wa kuamkia leo wanatuambia waasi itabidi wasikae Tripoli warudi kwani hali bado si shwari mji haujatulia kutokana na majeshi ya Ghadafi kushambulia (BBC,CNN).
iii. BBC, Sky News,CCN walitoa taarifa toka juzi kuwa watoto 3 wa Col. Ghadafi wamekamatwa na wanashikiliwa na waasi, alfajiri ya leo Saif Al-Islam kajitokeza hadharani na kukanusha kukamatwa kwake na kutoa taarifa kuwa babake yuko hai na salam na kwamba bado wanaushikilia mji wa Tripoli.
Je, nini maslahi ya vyombo hivi vya habari vya wazungu katika vita ya Libya, ilihali kulipotoka taarifa kuwa Afrika Kusini wamepeleka ndege yao kutorosha Ghadafi vyombo hivyo vya habari vilikuja juu kuilamu Afrika Kusini, ni wanachokitaka hawa watu?

 
Last edited by a moderator:
Media ndio huwa inaamua mwelekeo wa vita kwa hiyo usihofu wanaotawala media ndio watashinda hata kama ushindi wao utachelewa

Sasa hivi Cameroon anawaza jinsi ya kuweka mabomba ya mafuta toka libya to uk through france.........Changanya na zako[/QUOTE

Cameroon na Obama wote kwa pamoja wamesema wao wana urafiki mkubwa na Libya hivyo wanaiomba hii transition iwe ya amani na utulivu, urafiki huu umeanza lini na hawa waasi? pia 'new constitution' isiwe ya kidikteta bali ya kidemokrasia. Mimi kwa mawazo yangu ni kuwa wanataka kuwepo na demokrasia ili kuwe na uwingi wa vyama kila mmoja akivutia upande wake halafu wao wanapandikiza mtu wao kupitia chama fulani ili waweze kumiliki dola na kunyonya mafuta kirahisi.
 
Vyovyote iwavyo utawala wa Muamar Ghadafi ndo umeshafikia mwisho kwa sababu hadi hivi ninapoandika anapigania mji wa Tripol tu wakati yeye alikuwa mtawala wa nchi nzima. Na kwa taarifa yako ilikuwa ngumu sana kumzungumzia Ghadafi hovyohovyo nchini Libya lakini leo watu wanauwa hadi wajukuu zake na kumtukana waziwazi. Ni suala la muda tu kwani hakuna aliyeamini kwamba Gbagbo angeng'oka lakini yuko wapi? NGUVU YA UMMA NI NOUMA!!!!!!!!!!
Taarifa aliyoitoa usiku wa kuamkia jana kupitia televisheni ya taifa amewatangazia raia wote wa Libya hasa wale walioko Tripoli kuwa sasa Tripoli imegeuka Baghdad hivyo wananchi wafanye kila wawezalo kuwarudisha nyuma waasi, hapa anamaanisha watu waanze kujitoa mhanga, je hii itawezekana?
 
kiukweli hata seif al islam alipotoka mafichoni alionekana dhahiri kuwa maji yamefika shingoni wamepoteza kila kitu.Kwisha habari habari yao bado kunyongwa na OKAMPO.IT'S A MATTER OF TIME WAIT AND SEE.
 
Ni westerns ndo hawamtaki Gaddafi na si walibya ingawa si wote!
Iyo transition wangeachiwa walibya wenyewe waamue na si kwa vita!
 
yaani kuna watu wanadhani mpaka leo dikteta gadafi atashinda kweli? Nawapa pole wote wanaomshabikia huyo jamaa!
 
kiukweli hata seif al islam alipotoka mafichoni alionekana dhahiri kuwa maji yamefika shingoni wamepoteza kila kitu.Kwisha habari habari yao bado kunyongwa na OKAMPO.IT'S A MATTER OF TIME WAIT AND SEE.
when is O Campo going to prosecute the NATO masterminds?
 
Kuna tatizo moja kubwa miongoni mwetu kuhusu kuelewa namna western media zinavyo-operate, wengi wanafikiri ni kama vile TBC au zinakuwa directed na serikali za uingereza, Marekani au Ufaransa kuhusu nini watangaze!!!!!! Guys this a dead wrong assumption, these are purely independent firms, each have their pple on the ground na some other sources wanapata habari na kuzirusha in fact ni mashindano maana ni biashara. Hivyo basi it's just the matter of who breaks the news first. Wanachofanana hawa the so called western media ni mtizamo say kuhusu umasikini in Africa au lack of democracy in the Arab world etc. Lakini kufikiria kwamba a news outlet kama foxnews kuwa sawa na CNN is a dead wrong assumption. Wala sky news si sawa na Aljazeera.
 
Back
Top Bottom