Ngolo Mseka
Member
- Oct 17, 2020
- 28
- 6
Tafuta vitamin D3 yenye IU kubwa.Nilikuwa na hiyo shida hadi nikaenda Nairobi hospital nikapimwa wakaniandikia hiyo dozi,kwa kweli ilinisaidia.Hospitali za hapa bongo zile kubwa kubwa mbili hawakuona ugonjwaGanzi miguuni na mikono(harafu inapata ubaridi) je kipimo gani kinatakiwa au dawa gani nitumie nipone?