Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,668
Pole sana mkuu. Hawa jamaa hasa vyeo vya chini ni choka mbaya halafu wakorofi sana. Ikitokea umemtoa humo usije kurudia kumpangisha askari yeyote.Wakuu habarini za wakati huu. Naandika uzi huu nikiwa na simanzi sana!
Nina eneo langu Ukonga KMKM ambapo nimejenga nyumba moja kubwa ya kupangisha na vyumba vingine 4 vyenye sebule na choo ndani. Nimefanya uwekezaji huu kwa kujinyima sana tena nikitumia pesa yangu halali.
Mimi siishi Dsm kwa sasa. Changamoto ipo kwa mpangaji mmoja bwana mdogo ambaye ni Mwanajeshi mwenye cheo cha Coplo, ni rika langu, yuko kati ya 30-37; ananisumbua sana kulipa kodi. Nimemvumilia vya kutosha. Pamoja na kuweka kodi ndogo lakini bado jamaa ananisumbua mno.
So far namdai zaidi ya milioni moja. Kuna wakati nasafiri kwenda Dar kutazama maendeleo ya makazi yangu na nakutanaga nae lakini anaishia kunipiga sound. Jamaa ni mtaratibu sana, anazungumza kwa upole; kila nikijaribu kumtoa hata kwa kumsamehe hiyo kodi huwa napatwa na huruma.
Kwa sasa enough is enough. Mara ya mwisho nimekutana nae Desemba mwaka jana, akakiri kwa maandishi kwamba namdai na atalipa deni lote Jan. 29 mwaka huu. Kilichotokea ni kwamba tarehe 29 imepita na kakaa kimya! Nikimpigia simu zangu hapokei. Kwasababu niko mbali, nimemtuma mpangaji wangu mmoja ninayemwamwini ili anipe nizungumze nae ila inasemekana jamaa hayupo pale kwa takribani wiki 3, kuna tetesi ameenda kwenye kozi Kibaha.
Ningeweza kwenda kumshtaki kambini kwake lakini sijui yuko kambi gani, kuna wanaosema yuko Lugalo ila hawana uhakika.
Naombeni msaada wakuu, naamini kuna watu ni Wanajeshi humu, wengine mna ndugu zenu Jeshini na hamuwezi kukubali dhuluma ya namna hii, naombeni msaada wa namna ya kuitambua kambi yake, majina yake nayajua, niko tayari kumsamehe hiyo kodi ila anipishe ili nitafute mpangaji mwingine.
Naomba kuwasilisha.
N:B: Wapangaji wote wana Mikataba. Kimsingi huyu jamaa ameshavunja terms za Mkataba muda mrefu. Naweza kumdai kodi Kimahakama lakini sitaki kupoteza muda.
Ple sana mkuu.Wakuu habarini za wakati huu. Naandika uzi huu nikiwa na simanzi sana!
Nina eneo langu Ukonga KMKM ambapo nimejenga nyumba moja kubwa ya kupangisha na vyumba vingine 4 vyenye sebule na choo ndani. Nimefanya uwekezaji huu kwa kujinyima sana tena nikitumia pesa yangu halali.
Mimi siishi Dsm kwa sasa. Changamoto ipo kwa mpangaji mmoja bwana mdogo ambaye ni Mwanajeshi mwenye cheo cha Coplo, ni rika langu, yuko kati ya 30-37; ananisumbua sana kulipa kodi. Nimemvumilia vya kutosha. Pamoja na kuweka kodi ndogo lakini bado jamaa ananisumbua mno.
So far namdai zaidi ya milioni moja. Kuna wakati nasafiri kwenda Dar kutazama maendeleo ya makazi yangu na nakutanaga nae lakini anaishia kunipiga sound. Jamaa ni mtaratibu sana, anazungumza kwa upole; kila nikijaribu kumtoa hata kwa kumsamehe hiyo kodi huwa napatwa na huruma.
Kwa sasa enough is enough. Mara ya mwisho nimekutana nae Desemba mwaka jana, akakiri kwa maandishi kwamba namdai na atalipa deni lote Jan. 29 mwaka huu. Kilichotokea ni kwamba tarehe 29 imepita na kakaa kimya! Nikimpigia simu zangu hapokei. Kwasababu niko mbali, nimemtuma mpangaji wangu mmoja ninayemwamwini ili anipe nizungumze nae ila inasemekana jamaa hayupo pale kwa takribani wiki 3, kuna tetesi ameenda kwenye kozi Kibaha.
Ningeweza kwenda kumshtaki kambini kwake lakini sijui yuko kambi gani, kuna wanaosema yuko Lugalo ila hawana uhakika.
Naombeni msaada wakuu, naamini kuna watu ni Wanajeshi humu, wengine mna ndugu zenu Jeshini na hamuwezi kukubali dhuluma ya namna hii, naombeni msaada wa namna ya kuitambua kambi yake, majina yake nayajua, niko tayari kumsamehe hiyo kodi ila anipishe ili nitafute mpangaji mwingine.
Naomba kuwasilisha.
N:B: Wapangaji wote wana Mikataba. Kimsingi huyu jamaa ameshavunja terms za Mkataba muda mrefu. Naweza kumdai kodi Kimahakama lakini sitaki kupoteza muda.
Sio wote mkuu, ni tabia ya mtu binafsi.Pole sana mkuu. Hawa jamaa hasa vyeovya chini ni choka mbaya afu wakorofi sana. Ikitokea umemtoa humo usije kurudia kumpangisha askari yeyote
Jamaa inaonekana ni wale watu wanaoogopa wanajeshi. BTW hapo kuna jinai? Ampe notisi ya miezi mitatu ikiisha atoe vitu vyake nje aweke kofuli. Ashirikishe mamlaka zinazohusika.Ple sana mkuu.
Unaweza kuchukua hatua zifuatazo ili kutatua suala lako.......
Ripoti suala hilo polisi, wape taarifa zote unazozijua kuhusu mwanajeshi huyo, jina lake na maelezo mengine yanayohusiana na suala hilo na mkataba wa upangaji. (mzunguko utakuwa mrefu maana lazima waombe kibari)
Au
Peleka malalamiko yako jeshini(mwajiri wake) Waulize kuhusu mchakato wa kuripoti vitendo vya jinai vilivyofanywa na mwanajeshi na waulize jinsi wanavyoshughulikia maswala kama hayo. (Kama jina ni sahihi, anapatikana haraka na utalipwa mapema)
Asante sana mkuu.Pole sana mkuu. Hawa jamaa hasa vyeovya chini ni choka mbaya afu wakorofi sana. Ikitokea umemtoa humo usije kurudia kumpangisha askari yeyote
[emoji28][emoji28]Ukishindwa kuvumilia kabisa,kabisa mchek huyo mchawi
View attachment 2898717
Asante kwa ushauri mkuu ingawa hapa hakuna jinai.Ple sana mkuu.
Unaweza kuchukua hatua zifuatazo ili kutatua suala lako.......
Ripoti suala hilo polisi, wape taarifa zote unazozijua kuhusu mwanajeshi huyo, jina lake na maelezo mengine yanayohusiana na suala hilo na mkataba wa upangaji. (mzunguko utakuwa mrefu maana lazima waombe kibari)
Au
Peleka malalamiko yako jeshini(mwajiri wake) Waulize kuhusu mchakato wa kuripoti vitendo vya jinai vilivyofanywa na mwanajeshi na waulize jinsi wanavyoshughulikia maswala kama hayo. (Kama jina ni sahihi, anapatikana haraka na utalipwa mapema)
Dalali nilishapoteana nae kitambo sana mkuu.Dalali aliyemleta most likely anajua.
Hao wapangaji jirani zake, most likely yawezekana alishawahi spit-out kambi yake.
Anzia hapo Lugalo, kama sio wa kambi hiyo, Mkuu wa Kambi atakusaidia kumlocate sababu una mjua majina yake.
Unajua umeandika kama sisi humu ndio majirani zake huyo afande, sikiliza mdogo wangu, wakati wowote unapopatwa na tatizo lolote jaribu kuwa mtulivu na kama unahitaji ushauri toa maelezo ya kutosha yanayohusiana na msaada unaohitaji, pia usikurupuke kutoa hukumu au kuchukuwa maamuzi kwa kutumia hasira au utashi wako binafsi, unaweza kuwa umeonewa, umedhulumiwa, au vyovyote itakavyokuwa, lakini dunia hii haki pekee haikufanyi uwe na sauti mbele ya mamlaka au sheria, hususan upande huo wa magwanda, kwao wao hakuna sheria za duniani wala za mbinguni zinazofanya kazi, kwahiyo kuwa makini huyo anaweza hata kukunyanganya hiyo nyumba akasema ni yake na mamlaka ikakuweka wewe ndani na kusema ulitaka kumdhulumu, kwa kifupi umeyatimba, nakushauri mvumilie na mpe siku au mwezi kama hajalipa mwambie mimi nyumba nauza, utamuwachia msala huyo atakaekuja kununua, kwa kifupi umeyatimba.Wakuu habarini za wakati huu. Naandika uzi huu nikiwa na simanzi sana!
Nina eneo langu Ukonga KMKM ambapo nimejenga nyumba moja kubwa ya kupangisha na vyumba vingine 4 vyenye sebule na choo ndani. Nimefanya uwekezaji huu kwa kujinyima sana tena nikitumia pesa yangu halali.
Mimi siishi Dsm kwa sasa. Changamoto ipo kwa mpangaji mmoja bwana mdogo ambaye ni Mwanajeshi mwenye cheo cha Coplo, ni rika langu, yuko kati ya 30-37; ananisumbua sana kulipa kodi. Nimemvumilia vya kutosha. Pamoja na kuweka kodi ndogo lakini bado jamaa ananisumbua mno.
So far namdai zaidi ya milioni moja. Kuna wakati nasafiri kwenda Dar kutazama maendeleo ya makazi yangu na nakutanaga nae lakini anaishia kunipiga sound. Jamaa ni mtaratibu sana, anazungumza kwa upole; kila nikijaribu kumtoa hata kwa kumsamehe hiyo kodi huwa napatwa na huruma.
Kwa sasa enough is enough. Mara ya mwisho nimekutana nae Desemba mwaka jana, akakiri kwa maandishi kwamba namdai na atalipa deni lote Jan. 29 mwaka huu. Kilichotokea ni kwamba tarehe 29 imepita na kakaa kimya! Nikimpigia simu zangu hapokei. Kwasababu niko mbali, nimemtuma mpangaji wangu mmoja ninayemwamwini ili anipe nizungumze nae ila inasemekana jamaa hayupo pale kwa takribani wiki 3, kuna tetesi ameenda kwenye kozi Kibaha.
Ningeweza kwenda kumshtaki kambini kwake lakini sijui yuko kambi gani, kuna wanaosema yuko Lugalo ila hawana uhakika.
Naombeni msaada wakuu, naamini kuna watu ni Wanajeshi humu, wengine mna ndugu zenu Jeshini na hamuwezi kukubali dhuluma ya namna hii, naombeni msaada wa namna ya kuitambua kambi yake, majina yake nayajua, niko tayari kumsamehe hiyo kodi ila anipishe ili nitafute mpangaji mwingine.
Naomba kuwasilisha.
N:B: Wapangaji wote wana Mikataba. Kimsingi huyu jamaa ameshavunja terms za Mkataba muda mrefu. Naweza kumdai kodi Kimahakama lakini sitaki kupoteza muda.
Umenilisha maneno mku.Jamaa inaonekana ni wale watu wanaoogopa wanajeshi. BTW hapo kuna jinai? Ampe notisi ya miezi mitatu ikiisha atoe vitu vyake nje aweke kofuli. Ashirikishe mamlaka zinazohusika.
Kumbe jamaa ni wasumbufu eh?unapangishaje mjeshi aisee
Ni typing error tu, lengo ni jina /madai.Asante kwa ushauri mkuu ingawa hapa hakuna jinai.
Ni madai ya kawaida kabisa. Labda niwaone polisi wanisaidie kum-locate tu.
Typing error mkuu lengo ni jinai /madai.Jamaa inaonekana ni wale watu wanaoogopa wanajeshi. BTW hapo kuna jinai? Ampe notisi ya miezi mitatu ikiisha atoe vitu vyake nje aweke kofuli. Ashirikishe mamlaka zinazohusika.
Wewe ni boya sana acha ujinga na uogaUnajua umeandika kama sisi humu ndio majirani zake huyo afande, sikiliza mdogo wangu, wakati wowote unapopatwa na tatizo lolote jaribu kuwa mtulivu na kama unahitaji ushauri toa maelezo ya kutosha yanayohusiana na msaada unaohitaji, pia usikurupuke kutoa hukumu au kuchukuwa maamuzi kwa kutumia hasira au utashi wako binafsi, unaweza kuwa umeonewa, umedhulumiwa, au vyovyote itakavyokuwa, lakini dunia hii haki pekee haikufanyi uwe na sauti mbele ya mamlaka au sheria, hususan upande huo wa magwanda, kwao wao hakuna sheria za duniani wala za mbinguni zinazofanya kazi, kwahiyo kuwa makini huyo anaweza hata kukunyanganya hiyo nyumba akasema ni yake na mamlaka ikakuweka wewe ndani na kusema ulitaka kumdhulumu, kwa kifupi umeyatimba, nakushauri mvumilie na mpe siku au mwezi kama hajalipa mwambie mimi nyumba nauza, utamuwachia msala huyo atakaekuja kununua, kwa kifupi umeyatimba.