Najuuuuta kum HACK facebuku..huyu demu!!

Najuuuuta kum HACK facebuku..huyu demu!!

Kaache katoto ka watu banaa! Ww unapokua busy na mkeo unadhani yeye anakua anafanya nini? Na huo ndo mtandao baba, wakati ww upo nako mkeo yuko busy kwingine na hao masharobaro wa katoto wako na wengine. Ukirudi kwako mwendo mdundo! Hongera kwa kuwa na mitala isiyo rasmi
sasa ingekuwa nyumba kubwa si ningeua mtu! Sasa sijui nimnyanganye ac kwa kuchange password yake au nikaache tu kale maisha..
 
pole sana sharobalo ndo tulivyo wanadamu
 
Kaache katoto ka watu banaa! Ww unapokua busy na mkeo unadhani yeye anakua anafanya nini? Na huo ndo mtandao baba, wakati ww upo nako mkeo yuko busy kwingine na hao masharobaro wa katoto wako na wengine. Ukirudi kwako mwendo mdundo! Hongera kwa kuwa na mitala isiyo rasmi

sawa mkuu. Ni bora nimefahamu
 
so wakuu kama kuna mtu anataka kufahamu au ku hack facebuk ya mtu yeyote ani PM then 2takuja na plan nzuri tu. Inatakiwa ujue valid email yake anayotumia mara kwa mara. Hamna guarantee kwamba 100% tutafanikiwa ila tunaweza fanikiwa pia who knows.
 
inategemea. Je unataka kujaribu njia niliyotumia mimi hapo juu ya kufungua tanzania.net23.net au unataka nikuhack kivipi. Ni PM email yako halafu tutaangalia wapi tutafika naweza kufanikiwa au nisifanikiwe. Yote posible mkuu

Sasa SHAROBALO utamuhack vipi kwa kutumia hiyo page ya tanzania.net23.net . Au you mean huyo hana macho au haoni. Au hajui kutofautisha kati ya original FB page na fake page . Hajui kutofautisha kati original FB url na fake FB url

SHAROBALO waache watototo wasome usihangaike na kuhack sidangayiki 🙂 🙂 🙂
 
Ombona ukifungua hyo peg yko inageza maneno inkuwa PICHA ZA WEMA NA DAIMOND WANFANYA MAPENZI ndoninisasa
Hellow Jf!!

Kuna njia nying za ku HACK facebook accounts zipo hapa How to hack facebook password | Learn How To Hack - Ethical Hacking and security tips Nimefanya nimefanikiwa, Victim wa kwanza ni Ki demu changu nyumba ndogo.

Niliyo yakuta huko...dah bora nisingejaribu....SWEETHEART tupo kama 15 hivi. HONEY ndio oh!! kibao..hizo meseji sasa mtumeeeee!!!!

kweli nimekubali jamaa mmoja alisema HACK upate pesa na si ku hack mademu....katoto kenyewe kadogo ila mambo yake ah!!

Give a try guys muone. ukishindwa PM me.!!! aha

page niliyotengeneza ni hii akavutiwa na title ya page....mweeee!! PICHA ZA WEMA NA DIAMOND WAKIFANYA MAMBOhttp://www.tanzania.net23.net

sijui kama tutapona.
 
Reported Web Forgery!







This web page at PICHA ZA WEMA NA DIAMOND WAKIFANYA MAMBO has been reported as a web forgery and has been blocked based on your security preferences.





Web forgeries are designed to trick you into revealing personal or financial information by imitating sources you may trust.Entering any information on this web page may result in identity theft or other fraud.












Hayo ndio nimekutana nayo baada ya kufungua page yako
 
Mbona inawezekana tu kumbuka apa atuihack facebook in any way bali user ndo anakuwa hacked or lets say tricked mpaka unakupa email na password yake nijia tu yajinc ya kuplan mtu kama aliotumia Sharobalo haha iyo nimeipenda great thnkn.. Many wud fall 4 dat nakutaka kuona hehe! Iyo njia i blv ndo web phishing.. So therz alot of other wayz pia ni trickery and foolin tu mie nilisha mtrick pia gf wangu mpaka nikapata account details zake u knw beta safe than sorry lol! Mie niltumia keyloggin.. Hi naona is the easiest way to hack.. Lakn inakuwa more easier kama unaweza tumia laptop or computer yake au yako mara kwa mara.. Kama chuoni nilihack account za marafki wote mpaka wakaniogopa lol! So point yangu ni kwamba hii kitu kinawezekana nikujenga plan yakumtrick victim mpaka yeye mwenye anakupa password yake bila kujua kabisa.
 
yeah hiyo page haikuwa proffesional ila kwa vile nilisha msoma Victim wangu kuwa anapenda story za wema na diamond then ikawa rahis sababu anatumia simu akafungua kwa simu nakujaribu. Kwa Pc inabidi utengeneze web profesional na graphic nzuri pia baadh ya browser na anti virus zina gundua fake pages. So inategemea na victim wako..kama mjanja unaenda kijanja kama hajui ki2 ndio hivyo.
 
Mbona inawezekana tu kumbuka apa atuihack facebook in any way bali user ndo anakuwa hacked or lets say tricked mpaka unakupa email na password yake nijia tu yajinc ya kuplan mtu kama aliotumia Sharobalo haha iyo nimeipenda great thnkn.. Many wud fall 4 dat nakutaka kuona hehe! Iyo njia i blv ndo web phishing.. So therz alot of other wayz pia ni trickery and foolin tu mie nilisha mtrick pia gf wangu mpaka nikapata account details zake u knw beta safe than sorry lol! Mie niltumia keyloggin.. Hi naona is the easiest way to hack.. Lakn inakuwa more easier kama unaweza tumia laptop or computer yake au yako mara kwa mara.. Kama chuoni nilihack account za marafki wote mpaka wakaniogopa lol! So point yangu ni kwamba hii kitu kinawezekana nikujenga plan yakumtrick victim mpaka yeye mwenye anakupa password yake bila kujua kabisa.

umeongea point mkuu..ni kweli sija Hack facebuk nime hack ac detail zake tu. Natumi keyloger ofisini nina pasword za depertment nzima hadi bosi..haha ha hadi raha mkuu..to b safe mtu akikupa utumie computer yake iweke kwenye safe mode..
 
labda huyo demu wako aliwahi tumia one of your device kama computer yako au simu. Usitudanganye hapa hata hao magenious anonymous wameshindwa uje weza wewe ni hack mimi emaail yangu pumbavu@jf.com
 
inategemea. Je unataka kujaribu njia niliyotumia mimi hapo juu ya kufungua tanzania.net23.net au unataka nikuhack kivipi. Ni PM email yako halafu tutaangalia wapi tutafika naweza kufanikiwa au nisifanikiwe. Yote posible mkuu

mkuu nimejaribu kwahito page uliyoweka hapo haikufunguka!
 
sharobaLO KAZI YAKO NZURI LAKINI NKITAKA FANYA KITU KAMA HIKI lAZIMA KUNA MAHALI pasword na email zina enda ji save after akisha gawa information zake akifkiri ni true facebook page .ntaget vip hiyo software au inaitwaje .
Kingine pole kwa watu wazima mnao fkiri facebook is 100% safe .cant be hacked ina onesha ni jinsi gani mnaparamia mambo.fungueni hiyo site iliyo wekwa hapo afu sign in ndio utajua kama your hacked or not. labda kama una tumia antivirus ya Nod 32 ita wai kuu alert hiyo site sio safe . fungukeni akila bwana
 
Mtafuteni jamaa stephen mwijage on fb me nlbsha akafungua akaunti yangu na password zangu akataja ila cjajua mpaka sasa katumia ujuzi gani nkajagundua baadaye kuwa ni customer care
 
au kwann usifungue hiyo tanzania.net23.net ukapata majibu!


SnapShot6.png

Nimetembelea hiyo website yako na nilichokikuta ni hicho hapo katika picha


 
huhu sasa hio so fake page? We mpaka ukiingia fake page that mean we mashamba wakuja kuja tu. Its easy kuitambua fake page just login facebook then nenda fake page utaona nayo inataka user na password wakati tayari upo online.
 
Back
Top Bottom