Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
mmmh, husyn ndugu.
Kuna wakati maji yanazidi unga, labda upike uji na si ugali.
Kama wataka ugali itabidi tu kugonga kwa jirani na kusema ulilonalo rohoni.
Kuna wakati maji yanazidi unga, labda upike uji na si ugali.
Kama wataka ugali itabidi tu kugonga kwa jirani na kusema ulilonalo rohoni.
umeona eeh! Bora mtu ufe nalo moyoni kama anashindwa kusoma alama za nyakati.