General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,239
- 2,607
Upwiru ššš¤£š¤£š¤£,, famchezo ninisasa kwanini uliamua kumuoa haraka??
Sisi wazaramo tunasema mwanakulitafuta mwanakulipatašššMnamo mwaka X weds nakumbuka nilibahatika kukutana na huyu bint uso kwa uso katika Phase flan katika kutafuta maisha.
Tulipoteana tena kama baada ya mwaka mmoja bila kutongozana kuzoeana wala bila kuongea neno lolote.
Dada huyu alikuwa mzuri kwa Sura na rangi nzuri.
Maisha kusonga tukiwa tumepoteana niko kwa online Facebook ndipo nikamuona tena akiwa na rangi yake nzuri mcheshi kwenye picha dah.
Kutokana na usingle wangu wakitambo nikamtongoza Facebook bhanaa nika mpa ahadi kuwa lazima nitakuoa.
Mwamba nikapata vijicent vyangu vya mahari nikaenda kwao chap nikavuta chombo ndani.
Yaani bila kukaa kwa uchumba live pasipo hata miezi 3.
Ndugu yenu ninayo pitia kwa sasa heeh.
Nikiorodhesha naweza msimalizie hii thread.
Sasa Age 40+ Sijui dah acha tuone
nyie endeleenišUpwiru ššš¤£š¤£š¤£,, famchezo nini
Huyo kiherehere chake tu ndo kinamponzašnyie endeleeniš
We jamaa inabidi ukatwe kichwa uwekewe kingne chenye ubongo,Mnamo mwaka X weds nakumbuka nilibahatika kukutana na huyu bint uso kwa uso katika Phase flan katika kutafuta maisha.
Tulipoteana tena kama baada ya mwaka mmoja bila kutongozana kuzoeana wala bila kuongea neno lolote.
Dada huyu alikuwa mzuri kwa Sura na rangi nzuri.
Maisha kusonga tukiwa tumepoteana niko kwa online Facebook ndipo nikamuona tena akiwa na rangi yake nzuri mcheshi kwenye picha dah.
Kutokana na usingle wangu wakitambo nikamtongoza Facebook bhanaa nika mpa ahadi kuwa lazima nitakuoa.
Mwamba nikapata vijicent vyangu vya mahari nikaenda kwao chap nikavuta chombo ndani.
Yaani bila kukaa kwa uchumba live pasipo hata miezi 3.
Ndugu yenu ninayo pitia kwa sasa heeh.
Nikiorodhesha naweza msimalizie hii thread.
Sasa Age 40+ Sijui dah acha tuone
Nlidhani nimebahatisha chombo nisije pokonywa tenaa dahsasa kwanini uliamua kumuoa haraka??
Hizi changamoto zina umiza ukiwa ni toomuch invested alafu unagundua kuwa umechochoraWe jamaa inabidi ukatwe kichwa uwekewe kingne chenye ubongo,
Ambacho unashindwa kusema ni nini na haya maFake IDs,ama ni kipya kipi unakipitia kwny mahusiano yako ambacho unahisi hakuna mwngne kapitia