Shaas
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 478
- 1,117
- Thread starter
- #21
😂😂Pole unaonekana na wewe mfupi andunje .... ufupi sio kirema mkuu...ni disadvantage ....
Pia kuanzia leo nimekuteaua kuwa waziri wa watu wafupi jamii forum cheo chako andunje ....
Najua utabisha wewe sio mfupi ila ulivyoandika nimejua wewe ni andunje
Naomba usibishe kabisa maana ukibisha ndo tutaamini kabisa ule msemo wa watu wafupi wabishi sana ...jilindie heshima usibishe