Kumuita MTU mfupi hiyo ni bullying au unyanyasaji wa kisaikolojia wa kumfanya MTU asijiamini .Kumbe ni kweli mapenzi sio ya kuendekeza?
Wanaume wabaya sana hasa akiwa mfupi
Kumbe ni kweli mapenzi sio ya kuendekeza?
Wanaume wabaya sana hasa akiwa mfupi
Wamekuacha kibumbu-wazi??Kumbe ni kweli mapenzi sio ya kuendekeza?
Wanaume wabaya sana hasa akiwa mfupi
Kama Ww Ni Mwanamke Mrefu Na Huna Heshima Na Unadharau,usi Date Na Wanaume Wafupi Maana Hawanaga Simile Kwa Watu Wanao Wanawakosea Hasa Wanawake,maana Huingiza Fikra Za Maumbile Yao Kama Chanzo Cha Kukosewa,Kumbe ni kweli mapenzi sio ya kuendekeza?
Wanaume wabaya sana hasa akiwa mfupi
Pole unaonekana na wewe mfupi andunje .... ufupi sio kirema mkuu...ni disadvantage ....Kumuita MTU mfupi hiyo ni bullying au unyanyasaji wa kisaikolojia wa kumfanya MTU asijiamini .
Binafsi nikiona MTU anamuita MTU mfupi ili Kum-torture psychologically nakuwa namuona hajitambui
Kwakuwa I don't think Kama kuna MTU aliji design hivyo