Najuta kutupa pesa yangu VETA

Najuta kutupa pesa yangu VETA

Kabla sijaenda niliomba ushauri kwanza wengine wakaniambia niende maana mafundi wa mtaani wengi ni wachoyo kukupa siri zote za kazi, na wengine wakaniambia nisiende maana hiyo pesa ya ada robo tu unapata fundi anakufundisha vizuri tu.

Llakini nikaona ni bora tu niende veta ila nilichokikuta huko ndugu yangu sikushauri na wewe uende.

Nilienda kusomea ufundi simu hardwire na softwire lakini mpaka namaliza sijui hata kutoa port ya kuchajishia simu, nimekuja kujifunzia huku mtaani na nimejua.

Kule ni kwenda tu kujua majina ya component na matatizo ya simu
Ni veta za serikali lakini.
Kichwa kibovu
 
Nadhani lengo la mtoa mada ni kutaka kuichafua VETA.

Mimi nimesoma kozi hiyo na nimetoka vizuri.

Wakati tunaanza tuliambiwa tuwe na mazoea ya kwenda kwa mafundi simu ili kupata uzoefu. Pia huwa wanasisitiza wanafunzi kwenda na simu mbovu kutoka mitaani ili kuzitengeneza na kupata uzoefu.

Kwenye msafara wa mamba na kenge hawakosekani.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Nimesoma veta kipawa nenda hata leo na uzuri imeenda awamu mbiili ya simu na umeme kwahiyo naelewa na hunidanganyi
 
Mtoa mada ni kilaza tu elimu ya veta ni bora kuliko hata baadhi ya university. Kwa maana kwamba ukimpa kazi graduate wa veta let say wa civil, then mpe kazi hiyohiyo graduate wa degree si ajabu degree akashindwa kufanya kwa ubora sawa na wa veta
 
Mtoa mada ni kilaza tu elimu ya veta ni bora kuliko hata baadhi ya university. Kwa maana kwamba ukimpa kazi graduate wa veta let say wa civil, then mpe kazi hiyohiyo graduate wa degree si ajabu degree akashindwa kufanya kwa ubora sawa na wa veta
Njoo uone kazi ninazozifanya
 
Ufundi simu, ufundi magari, ufundi umeme, kuendesha mitambo, ufundi wa kujenga, na kadhalika hakikisha unajifunzia mtaani utaelewa vizuri zaidi na vyuoni nenda upate cheti tu
Umeme utoe hapo Mkuu.
Huwezi kujifunza mtaani umeme.
 
Hivyo ndivyo digirii nyingi zilivyo pia nchini "Tanzania".
Nashukuru kwa kulijua ili. Nimemaliza Bsc ya civil engineering sijui hata kuchanganya zege kupata 30C garde class ya concrete.elimu hii inatakiwa ifumuliwe dunia nzima.
 
Kabla sijaenda niliomba ushauri kwanza wengine wakaniambia niende maana mafundi wa mtaani wengi ni wachoyo kukupa siri zote za kazi, na wengine wakaniambia nisiende maana hiyo pesa ya ada robo tu unapata fundi anakufundisha vizuri tu.

Llakini nikaona ni bora tu niende veta ila nilichokikuta huko ndugu yangu sikushauri na wewe uende.

Nilienda kusomea ufundi simu hardwire na softwire lakini mpaka namaliza sijui hata kutoa port ya kuchajishia simu, nimekuja kujifunzia huku mtaani na nimejua.

Kule ni kwenda tu kujua majina ya component na matatizo ya simu
Ni veta za
serikali lakini.

Kabla sijaenda niliomba ushauri kwanza wengine wakaniambia niende maana mafundi wa mtaani wengi ni wachoyo kukupa siri zote za kazi, na wengine wakaniambia nisiende maana hiyo pesa ya ada robo tu unapata fundi anakufundisha vizuri tu.

Llakini nikaona ni bora tu niende veta ila nilichokikuta huko ndugu yangu sikushauri na wewe uende.

Nilienda kusomea ufundi simu hardwire na softwire lakini mpaka namaliza sijui hata kutoa port ya kuchajishia simu, nimekuja kujifunzia huku mtaani na nimejua.

Kule ni kwenda tu kujua majina ya component na matatizo ya simu
Ni veta za serikali lakini.
Ulipigwa na kitu kizito , 😁😁 shida walimu wenyewe hawajui
 
Aliekuambia VETA wanakupa uzoefu ni nani? wale wanakupa ujuzi ili ukienda mtaani ukautumia vizuri upate mafanikio. Hivyo uzoefu unapatikana mtaani, na hiyo elimu uliyoipata kuna siku utawashukuru.
Mkuu una akili sana.
Safi sana.
 
Kuna jamaa mmoja sijui anaitwa Robert Nani anadai kuwa akasoma Havard business school Ila alichopata huko hakijamsaidia ku establish empire ya business aliyo nayo. So ni kanga la dunia nzima. Mie Naona wenye vyuo wawe na uhakika wa kuwatafutia watu ajir Mana wao ndio waliofundishwa kuwa wafanyakazi Bora.
Ulikosea mno kwenda beta Tena Kama simu ndio hawajui kitu. Jua gari mtaani nenda veta akachukue cheti
 
Nashukuru degree niliyosoma kwa 90% ujuzi nimeutoa huko mtaani nafanya kuongezea tu kidogo kidogo

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Hivyo ndivyo ilivyo ELIMU ya Tanzania kuanzia vidudu mpaka chuo kikuu.

Ndio maana tunalia ajira hakuna.
 
Ndo maana nikamwambia asiwalaumu veta bure kumbe yeye mwenyewe ndo chenga....
Malengo yake yalikua sio kujua kuandika au kusoma hayo maneno,ni kuzifumua fumua na kuzibongonya bongonya na kuzirudisha kama zilivyo
 
Back
Top Bottom