Kabla sijaenda niliomba ushauri kwanza wengine wakaniambia niende maana mafundi wa mtaani wengi ni wachoyo kukupa siri zote za kazi, na wengine wakaniambia nisiende maana hiyo pesa ya ada robo tu unapata fundi anakufundisha vizuri tu.
Llakini nikaona ni bora tu niende veta ila nilichokikuta huko ndugu yangu sikushauri na wewe uende.
Nilienda kusomea ufundi simu hardwire na softwire lakini mpaka namaliza sijui hata kutoa port ya kuchajishia simu, nimekuja kujifunzia huku mtaani na nimejua.
Kule ni kwenda tu kujua majina ya component na matatizo ya simu
Ni veta za serikali lakini.
ila nikupe siri moja ukitaka kufanikiwa ili.Unaweza ku unlock iphone toka Marekani?
Watu mnavokomment humu kama sio nyie vile. Eti kajifunze mtaani,,,, tukiwafata huuko mtaan mnatuzarau sana/mnatupandishia vioo sana sie tunaoomba kujifunza. Watanzania wanafiki sana.Ufundi simu, ufundi magari, ufundi umeme, kuendesha mitambo, ufundi wa kujenga, na kadhalika hakikisha unajifunzia mtaani utaelewa vizuri zaidi na vyuoni nenda upate cheti tu
Hii JF hiiUdsm wanatoa digrii ya muziki.. ila hao wahitimu. Hawajui kuimba na wala hawajui hata kupiga chombo chochote cha muziki.
Walimu wao nao hivyo hivyo


Watu mnavokomment humu kama sio nyie vile. Eti kajifunze mtaani,,,, tukiwafata huuko mtaan mnatuzarau sana/mnatupandishia vioo sana sie tunaoomba kujifunza. Watanzania wanafiki sana.
Utaskia ooooh msimu huu hakuna wateja subir mwakan,, mara oooh mimi hapa sipokei wanafunzi na sababu lukuki.
Unakuja kwa madereva sasa hawa ndio balaa. Nishaongeaga na madereva wa malori,,, kila unaeongea nae anakwambia ntakuunganisha na jamaa fulan mara hapokei smu zako mara nn yaan sababu lukuki.
Tz kwa unafki hatujambo sanaWatu mnavokomment humu kama sio nyie vile. Eti kajifunze mtaani,,,, tukiwafata huuko mtaan mnatuzarau sana/mnatupandishia vioo sana sie tunaoomba kujifunza. Watanzania wanafiki sana.
Utaskia ooooh msimu huu hakuna wateja subir mwakan,, mara oooh mimi hapa sipokei wanafunzi na sababu lukuki.
Unakuja kwa madereva sasa hawa ndio balaa. Nishaongeaga na madereva wa malori,,, kila unaeongea nae anakwambia ntakuunganisha na jamaa fulan mara hapokei smu zako mara nn yaan sababu lukuki.

Huko veta ndio wanafundisha softwire na hardwire wewe kiazi sio ? , Kichwa maji kabisaKabla sijaenda niliomba ushauri kwanza wengine wakaniambia niende maana mafundi wa mtaani wengi ni wachoyo kukupa siri zote za kazi, na wengine wakaniambia nisiende maana hiyo pesa ya ada robo tu unapata fundi anakufundisha vizuri tu.
Llakini nikaona ni bora tu niende veta ila nilichokikuta huko ndugu yangu sikushauri na wewe uende.
Nilienda kusomea ufundi simu hardwire na softwire lakini mpaka namaliza sijui hata kutoa port ya kuchajishia simu, nimekuja kujifunzia huku mtaani na nimejua.
Kule ni kwenda tu kujua majina ya component na matatizo ya simu
Ni veta za serikali lakini.
Hata chuoni kuna nini kipya ukusoma sekondariElimu ya bongo kikubwa kupata cheti..just imagine unasoma diploma ya hydogeology ila ukienda kuchukua bachelor husomi kipya yaleyale unayarudia
Ulikua aina Gani ya mwanafunzi hapo Veta? Yule wa kushika Multimeter na soldiering gun au yule anayesimam nyuma ya mshika Multimeter?Kabla sijaenda niliomba ushauri kwanza wengine wakaniambia niende maana mafundi wa mtaani wengi ni wachoyo kukupa siri zote za kazi, na wengine wakaniambia nisiende maana hiyo pesa ya ada robo tu unapata fundi anakufundisha vizuri tu.
Llakini nikaona ni bora tu niende veta ila nilichokikuta huko ndugu yangu sikushauri na wewe uende.
Nilienda kusomea ufundi simu hardwire na softwire lakini mpaka namaliza sijui hata kutoa port ya kuchajishia simu, nimekuja kujifunzia huku mtaani na nimejua.
Kule ni kwenda tu kujua majina ya component na matatizo ya simu
Ni veta za serikali lakini.
Hajui watu wanaenda huko ili kupata makaratasi ila sio ujuziKule wawezafundushwa Ohms law. V=IR
Wanazunguka sana.
Sema umepata nafasi ya kupata certificate kuna sehemu wanahitaji fundi ajue kazi na awe na makaratasi
Vipo vingi sana Mkuu, kuna fani huwa ni mpya kabisa kwenye ubongo wa mwanachuo. Fani kama sheria hata sijui ni kidato gani nimewahi kuisoma huko sekondariHata chuoni kuna nini kipya ukusoma sekondari
Sheria civics,Vipo vingi sana Mkuu, kuna fani huwa ni mpya kabisa kwenye ubongo wa mwanachuo. Fani kama sheria hata sijui ni kidato gani nimewahi kuisoma huko sekondari
Niliwah kuona ba.fine art sijui magitaa.digrii.ila cha ajab dogo kond la 7 anawapeleksha na sasa anakaa mjumba ambao upige kaz kwa scale ya principal mpaka upew na hela yot ya kustaafia hupigi hata fence yake tuUdsm wanatoa digrii ya muziki.. ila hao wahitimu. Hawajui kuimba na wala hawajui hata kupiga chombo chochote cha muziki.
Walimu wao nao hivyo hivyo