- Thread starter
- #21
Nimesoma lakini nashangaa unapojuta kuepuka matatizo mazito!
nahisi sasa hivi ndo yamekuwa mazito kuliko yale niliyoyaepuka
Nimesoma lakini nashangaa unapojuta kuepuka matatizo mazito!
Kampuni yenu ndo kazi zake hizo????
Nyie bana bado mna tabia zile za kichuo chuo za kumegeana bana, acheni bana
Sasa usimwone mwenzio yuko kimya, angalia vizuri si ajabu analipiza kwa mkeo/du wako
Mla huliwa.
Sijaelewa unachojuta ni nini hasa!
naona thread za uongo ni nyingi sana humu.....
huyo mwanamke inaonyesha anamaindi sana mipini ya wanaume tofauti tofauti na si mwaminifu hata kidogo..
Anajuta kutotembea au kulala na mke wa rafiki yake ..... sababu huyo shori amenza visa hadi mshakaji haelewani na mwenye mali
Sijaelewa unachojuta ni nini hasa!
Aaagh, mie nilivyomuelewa uyu jamaa anajuta kwa nini hakumDO uyu mke wa partner wake kwani (1) uyo shem alimzimia sana akapoteza iyo opportunity, (2) partner wake anamchukia kwa kumuhisi tu na ata anakosa (3) na mwisho yeye amesusa wakati partner wa tatu anamtafuna uyo shemeji km hana akili timamu aya yote lazima yamfanye ajuteNimesoma lakini nashangaa unapojuta kuepuka matatizo mazito!
nahisi sasa hivi ndo yamekuwa mazito kuliko yale niliyoyaepuka