kwa nini unachezea bahati wewe?
Acha uongo. Moja kwa moja uliuza lugha na ukashtukiwa. Usemi wako tu "Ameoa mke mrembo ile mbaya" inathibitisha hilo. Maana yake ni kwamba, the first moment you saw her ulimtamani na ukaanza advances, jamaa akakushtukia bila wewe kufahamu. Ulipozidisha advances towards her, mwanamke uzalendo ukamshinda, na kwa sababu anamheshimu mume wake akamuelezea issue nzima. Hapo ndipo matatizo yalipoanzia.
Dah!!! Bahati kama hizo huwa hazitufikii kabisa sisi sijui kwa nini. \ingekuwa mimi angepigwa Katerero huyo hadi akakoma.
Chomoka arawa!
Usijitoe na unachotakiwa kufanya ni kuweka wazi kwa mbinu unazojua wewe uhusiano wa partner wenu mwingine na mke wa jamaa yako,kwanini uishi kwa wasiwasi wakati wenzako wanapata raha?
Nyie vijana nyie....duh!!
Haya bana.
Nina jamaa yangu mmoja ambaye ni rafiki yangu na tumefungua ofisi (kampuni) yetu.
Ameoa mke mrembo ile mbaya. Yule mke akawa ananitaka, mi nikamtolea nje. Basi akawa ananifanyia visa hadi rafiki yangu akahisi mimi natembea naye. Lakini mimi nikamthibitishia kuwa sijawahi. Sikumwambia kama mkewe alikuwa ananitaka. Sasa hivi mawasiliano na jamaa yamekuwa mabovu na pia mimi na mkewe hatuna mawasiliano mazuri, kisa nimemkataa.
Nimekuja kuthibitisha kuwa huyu mkewe jamaa anamegwa na jamaa yetu mwingine (partner) wa kampuni yetu. Jamaa mwenye mke hajagundua hiyo ishu, bali anahisi kuwa mimi ndo nakula mzigo wake...sijui mkewe kamwambia nini!
Kutokana na mtiririko wote huo, mahusiano ni mabaya sana kwangu na pande zote tatu nilizozitaja. Na sasa nawaza kujitoa katika kampuni yetu kwani sina raha na nahofia maisha yangu...
Kwa hali ilivyo, najuta kwa nini sikutembea na mke wa rafiki yangu.
kiritimba
30.11.2011
Nimesoma lakini nashangaa unapojuta kuepuka matatizo mazito!