Najuta kuoa mwanamke mlokole

Hilo swala ni gumu kiasi ila linaweza kusuluhishika bila ya kuachana......

Kwanza,kaa chini tafakari kwa kina jinsi ulivyotoka mbali na mkeo huyo ambae ni zawadi kutoka kwa mungu paka kufikia hatua hiyo....

Pili hata siku moja usije kulaumu kwa mwenyezi mungu eti umeoa mke mlokole ni kosa kubwa, usirudie tena

Kaa chini jipange kuwa na mazungumzo ya familia ya pande mbili wazaz wa mkeo na wazaziwako, pia viongoz wa din wa upande wa mkeo mtafakari kwa kina juu ya swala husika...nadhani mnaweza kufikia suluhisho ambalo litasaidia....

Pia wewe mwenyewe kaa chini ongea na mke wako kwa upole, USIRUDIE KUMPIGA MKE WAKO, HILO NI KOSA KUBWA KULIKO ALILOANYA MKEO..

Cha muhimu tafakar zaidi njia ya kutatua bila ya kuwaza kuvunja ndoa......
 
Pole sana mkuu,
Kama wife wako ametambua kosa lake na amekubali mrudiane, kwa masilahi ya watoto unaweza bado kumpa nafasi nyingine. Hata hivyo ni lazima hiyo nafasi nyingine iendane na mashariti. Maadam tatizo lake ni kushinda kanisani, inabidi umwambie yeye mwenyewe aeleze mkakati wake namna ambavyo amejipanga kupuguza vipindi vya kwenda kanisani, na kama inawezekana aweke kwenye maandishi. Ikitokea amekiuka na kurudia Enzi zake za kushinda kanisani kila siku utalazimika kufanya maamuzi magumu! lakini siyo kumpiga!

Husiendekeze kumpiga mkeo mpaka anazimia maana kuna siku utaua na kuishia kunyea ndoo wakati wanao wanateseka. Ikishindikana kabisa kuvumiliana, talaka is the best solution kuliko kipigo!
 

najaribu kutafakari, kama sio wazee wa SHIKA NENO-TENDA NENO sijui.
 
Pole sana.
Either nawe uokoke au urudi kwa Rachel.
 
ha haha ha kauli zako SITAKI MWANAMKE ANAYEKAA BAR.... SITAKI MWANAMKE ASIYEMJUA MUNGU.... SITAKI MWANAMKE ASIYEENDA KANISANI..... nina uhakika katika maombi yako uliweka hayo kipao mbele he he he he hehe uuuuuuu nimecheka kuna mmoja hapa kitaaa atakuja na malalamiko zaidi ya ya kwako....

kwa kuwa umeamua kumwacha we mwache na kama anataka kurudiana na wewe aisee mbona bible inaeleza vyema kwamaba mtaachana na wazazi na kuambatana na mkeo,.... waazi wa mkeo na mkeo nawasi wasi nahilo kanisa wanalosali kuna jambo halipo sawa aisee........ kama unaona anafuata matwaka ya wazazi wake ujue hakujua maana ya ndoa aua anajua maana ya ndoa lakini ameamua kukaidi na kuendelea na wazazi....MWAMBIE AAMUE MOJA WAZAZI AU WEWE KAMA NI WAZAZI BASI SAWA
 

Wawe kwenye Misa muda wote!? Kwani huko wanapewa mishahara!
 
Pole mkuu huyo ni mke wa kanisa sio wako, muepuke maana anaonekana atakusumbua yeye na wazazi wake
 
hawa kina rachel inaonekana ni watamu sana ila huwa wanachesewa na kuachwa.
huyu mtu wa tatu analeta na mkewe na kuona bora angemuoa rachel.
hata mimi nishawahi pita na rachel alikuwa mtamu balaaaa!!!
 
huwa nashangaa inakuwaje mtu unalaghaika na kanisa kiasi hicho. na wapo wengi wa hivyo, wake kwa waume.

eti unaambiwa upande mbegu hahahaaaa. si bora hiyo hela ukamsaidie muhitaji mtaani? nitatoa hela nikipenda na si kwa mtu kunishinikiza.

mkeo yuko kwenye kifungo cha imani ya hilo kanisa. kutoka huko ni kazi sana. inahitajika neema ya Mungu
 
Acha kumshauri vibaya mwenzako,
Kwanini amle housegirl? ?

anaweza akachagua mwingine badala ya hg, maneno yangu sio sheria, ila maisha mafupi sana haya usikubali mtu akupe stress
 

dini imekuwa mradi wa watu siku hizi.
 
Pole Muombe Mungu akuongoze katika maamuzi yako.
 

Duh. Hatare. Kama ni ishu ya kweli ni basi braza ana stress kweli kweli. Hebu fikiria unaoa mke halafu anakuacha usiku unapigwa na baridi anaenda kwenye mkesha. Ni bora abaki kwa wazazi.
 
Real men don't beat on women. Tafuta mwingine, usije ukapata Kesi ya mauaji. Huo sio ulokole wakuto kumsikiliza mume wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…