Najuta kuoa mwanamke mlokole

Justification ya kuacha mke ipo kwenye hio aya ya mwisho! Mengine mbwembwe na porojo tu! Umemmisi Recho
 
Tatizo mkuu, mke uliempata sio chaguo lako. We ungemuoa huyo Rachel unaefanana nae tabia. Huwezi kuwa na mke mlokole wakati we sio mlokole, Tafuta wa kufanana naww na huyo mke wako ni mzuri kwasababu anahofu ya Mungu. Achana na wadangaji utapotea
 
Nasoma huku kama nakuona unavyoongea,.msamehe bwana atajirekebisha
 
Huyo mke shida,ila nawe mwnangu unadunda sana ,mpaka shemeji umetengua
 
Mpaka slip salary hapo hakuna ulokole hapo, mke o kapumbazwa akili na huyo mchungaji wa uongo
 
Hapo ni nguvu ya karma Inafanya Kazi bora umesema na wewe ulishawahi mtenda huyo Rachel sasa yanakurudi
 
Pole sana, mimi nilioa mlokole afu nikambadilisha. Siku hizi vi reds na vi wine anasukuma kama kawaida.
 
Fanya maamuzi mapema akiendelea kubegup utakubal an itakua busnes as usual
 
Polee sana jamaa huyo mwanamke hakufai hata kidogo bora uishi peke yako kanisani daily?
Mimi nilishawahi kuwa na demu eti anaenda kukesha church nilimwacha bila sababu nikamwambia bwana kanionyesha hatutafika kokote so kheri tuwe marafiki
 
Acha tabia za Dar es Salaam, mwanamke akizingua lazima apigwe hata makofi kumkumbusha utii wa amri halali ya mume wake. Nyie ndio mke anawajibu vibaya mnashindwa kumnoa mnaanza kuomba ushauri kwa Chris Mauki
 
Acha kuiga akili za kizungu, kwa waafrika mke akileta kimdomo ruksa kumpiga vikofi vichache ili kumkumbusha kutii amri halali ya mume wake. Mm napinga kumpiga mke kikatili had akavimba au kutoka dam
 
So ndani usiku mzima alikuwa anakuacha na house girl? Me ningempa mimba alafu na mke nafukuza.
Sasa kama yeye ndio anajua baba anakulaje leo..anakuandalia chakula..anakufulia nguo..na anakulelea mwanao... yeye si ndio mke sasa kuna haja gan ya kuishi na huyo mtumwa wa mchungaji?
Akili kumkichwa.. najua ma house girl wanakuaga wachafchafu kihasi..

USHAURI WANGU HUDUMA ZOTE NZURI ULIZOKUA UKIMPA MKE HAMISHIA KWA HOUSEGIRL ASUKE VIZURI MNUNULIE MAVAZI YAKUTOSHA MFANYISHE MAZOEZI ALE VEMA NA AMINI UTAMPENDA MAANA HAKUNA MSICHANA MBAYA DUNIAN.
 
Mtu yoyote akishakuwa extremist katika jambo lolote ni shida.

Me nna mother mdogo, ndugu zake walimfungulia biashara ya duka ili zipatikane hela za kukidhi lengo flan.

Cha ajabu, dukani anakaa muda mchache sana. Muda mwingi anafunga duka sababu ya kwenda church.

La kushangaza zaidi daily lazima atoke na sadaka, na kila hela inayoingia anatoa fungu la 10 anapeleka church (badala ya kusubiria faida).

Duka halikuchukua miezi mingi likafa.
 
Tafuta mwingine wa kukesha bar, kupata mwanamke mwenye hofu ya Mungu ni neema tu mambo mengine nnaweza kuyajenga tarabu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…