Najuta kuoa mwanamke mlokole

Najuta kuoa mwanamke mlokole

Uliumbwa kwa mfano Wa Mungu, wanawake wakifanywa2 so your decision I think will be right( kaz ya Mungu haina makosa)!
 
sasa mungu kamchaguaje au mchungaji alionge nae akasema yule ndo chaguo.hahahahahahahahaah mchungaji kamzimia mkeo
Ha ha ha apana mbona namruhusu mikesha, tatizo unakuta maombi ya kufunga bila taarifa na wewe unatka kula mzigo anakuambia amefunga 7 days !!! Wewe unaweza ?
 
Ha ha ha apana mbona namruhusu mikesha, tatizo unakuta maombi ya kufunga bila taarifa na wewe unatka kula mzigo anakuambia amefunga 7 days !!! Wewe unaweza ?
weeeeee siku saba bila kula au ni ule mfungo wa masaa 12
 
Yaani huyo bro mambo ya chumbani hajaeleza hapo. Bora akamwone huyo mch au ampe likizo miezi 3 mpaka 6.
 
Miezi miwili iliyopita nilipelekwa polisi na wazazi wa mke wangu, kwa kosa la kumpiga binti yao karibu nimuue, ndugu walikuja kunitoa

Iko hivi;
Huyu binti nilimuoa miaka miwili iliyopita na tuna mtoto mmoja, yeye na wazazi wake wote wameokoka, Hivi sasa naweza kusema kwamba mke wangu ameolewa na kanisa na si mimi.

Akitoka kazini saa kumi na moja jioni anakwenda kwenye maombi kanisani hadi saa tatu , na hii ratiba ni kila siku Monday to Friday, Jumamosi pia wanakwenda Jumapili ni kutwa nzima, wakati mwingine kuna mkesha katikati ya wiki, hali hii, imefanya ashindwe hata kupataa muda wa kumlea mtoto wetu wa mwaka alielazimika kumwachisha ziwa akiwa na miezi mitatu kutokana kubanwa na mambo ya kanisa.

Mtoto huyu ni kama amebadilishiwa mama, maana sasa analelewa na house girl wetu kwa hali na Mali
Ilifika pahala nikashindwa kuvumilia hali hii na nikamuita na kumueleza hali halisi na kumtaka abadilishe ratiba zake, akadai kwamba hana jinsi kwa kua ratiba ya kanisa kwake haina substitute , nikamwambia ni amri sio ombi

Akaendelea hivyo hivyo, kwa Mara ya kwanza nilimpa kipigo kwa kukaidi amri yangu, niliendelea kumpiga mara kwa Mara sababu ikiwa ni kanisa, kila tunapoitwa kusuluhishwa wazazi wake humtetea na kudai walikosea kunipa mm binti yao, ikawa tunagombana na wazazi wake vikaoni hadi nikaamua kuachana na vikao.

Mwanzoni mwa mwezi wa sita alidai kuna mkesha wa maombi siku hiyo na hivyo atalala huko, nikamwambia ukitoka huko utafute nyumba nyingine, baadae mama yake akanipigia kwamba kuna mkesha hivyo wote watalala church kwenye mkesha, nikamjibu haiwezekani wamruhusu wife arudi kwa kuwa ana mtoto mdogo, akakata simu

Kweli, wife hakurudi, ila kila saa alikua akinipigia simu karibu usiku kucha nami sikua napokea naiangalia tu hadi inakatika hadi saa kumi alfajiri, alikuja amesindikizwa na dada yake maana walijua nimekasirika sana

Walipofika tu niliwakamata wote wawili na kuwapa kipigo kizito sana hadi wife kuzirai, dada mtu aliniponyoka na kukimbilia main road huku nikiwa nimemtengua mbavu akapanda boda boda, saa moja wazazi wa wife wakaja nilikua nimemfungia stoo wakamchukua wakaenda nae.

Baadae wakanifuata kazini na polisi wakaniweka ndani kwa shambulio la kudhuru mwili, nilitoka kesho yake , kesi ikahamia Ustawi wa Jamii tuliitwa pale, mbele ya wazee wa pande zote, ikaamriwa kwamba binti arudi kwa wazazi wake hadi hapo baadae hali ikiwa nzuri, ila wazazi wake wakasema wanamchukua kimoja hawanihitaji tena, kwamba nisubiri taratibu za talaka, nikasema haina shida nipo tayari, tukaja nyumbani wakamchukua mtoto na hg na nguo zake wakarudi kwao

Nimeyasahau hayo naishi kwa auheni kiasi kwa sasa Ingawa bado nina msongo, surprisingly Friday wife akanifuata kazini hatukua tumeonana for two months, roho yangu iliingia kitu flani hata mtoto wangu sikutaka hata kuwa naenda kumuona ingawa pale ustawi wa jamii niliruhusiwa

Wife akaniomba tuongee, akasema anahitaji turudiane, akadai anaomba arudi home kwangu hata kesho yake ikiwezekana, kwamba ananipenda, kwamba tutarekebisha tu, nikamwambia haiwezekani simtaki tena

Wadau wana Jf, nimemwambia atafute Mme mwingine kanisani kwao ndo watawezana na sio Mimi, mke wa hivi hanifai, hata mshahara wote anapeleka huko, hilo kanisa Jumapili moja tu kuna sadaka kama 12 hivi tangu asubuhi hadi jioni, unaweza kwenda na laki mbili usirudi hata na shilingi jioni, bado katikati ya wiki, halafu wachungaji wanaishi kifajari.

Huyo mchungaji wa hilo kanisa ameshawateka akili, mimi binafsi nilikua huko nikahama kutokana na hiyo biashara ya kutakiwa kushinda huko 24/7 na pia kutumia sehemu kubwa ya mapato yangu kanisani badala ya kujenga familia, kanisa gani wanaomba hadi salary slip? Na usipowapa watakusema sana kwamba umepotea njia na kadhalika
Kanisa gani halijali ndoa za watu?

Sio kwamba sipendi mke wangu aende kanisani, aende kwa kiasi na ratiba akizingatia kuwa yeye ni mama wa familia, inapaswa kwenda kanisani unashiriki na wenzako mchana au jioni unarudi home, jumatano unakwenda kwa maombi masaa mawili, six jioni unarudi kwako, there will be nothing wrong, lakini huwezi kwenda kushinda huko 24/7. Seven days a week, inakuja kweli hiyo?

Hata dada wa mke wangu niliempiga, mumewe pia alikuja kwangu na malalamiko kama haya ya kwangu, nimeamua simtaki tena, kwanza akili yangu imeshachanganyikiwa,
Nonsense

Ni bora nirudi kwa Rachel, alinivumilia tangu chuo hadi mtaani nikamtendea vibaya nikaoa mlokole nisiemjua, kwa kweli najuta sikujua nachofanya.

Pole sana kwa mkasa huo. Kama ni kushauri mimi naona bora Msamehe mkeo na mrudiane maadam amesema muongee na kuona namna ya kuweka mambo sawa, lakini kumuacha haitakaa kuwa suluhisho katika maswala yako ya ndoa. Kuwa mwanaume ni zaidi ya kuoa na kuacha na ndio maana tunaaswa hata na maandiko kuishi nao kwa akili sana kuna Muda inabidi ubebe madhaifu yake hata kama itakuumiza ndio uanamme huo ndugu.kwa kuwa kakufata na kukutaka msamaha sasa huu ndio wakati wa kukaa chini na kuongea na kumpa maono yako jinsi unavyotaka tena iwe ni kwa kujadiliana pamoja na sio wewe kutoa maamuzi tu. Kumbuka hata huyo unayemsema kurudiana naye pia anayo mapungufu yake tena utakuta ni makubwa kuliko ya mkeo na kama Hana hofu ya Mungu ndani yake tegemea kukulipa kisasi kwa ulivyo muacha: ndio baadhi ya akili za wanawake zilivyo Mkuu ni bora ukarudiana na mkeo
 
vitu vinavyo rudisha nyuma sana maendeleo ni dini siasa na mapenzi. nashauri watu wasome bible knowledge wajue misingi ya dini wajue jinsi ya kuabudu na kujibiwa maana naona watu wana jitesa na nja na sio kufunga
 
Pole sana kwa mkasa huo. Kama ni kushauri mimi naona bora Msamehe mkeo na mrudiane maadam amesema muongee na kuona namna ya kuweka mambo sawa, lakini kumuacha haitakaa kuwa suluhisho katika maswala yako ya ndoa. Kuwa mwanaume ni zaidi ya kuoa na kuacha na ndio maana tunaaswa hata na maandiko kuishi nao kwa akili sana kuna Muda inabidi ubebe madhaifu yake hata kama itakuumiza ndio uanamme huo ndugu.kwa kuwa kakufata na kukutaka msamaha sasa huu ndio wakati wa kukaa chini na kuongea na kumpa maono yako jinsi unavyotaka tena iwe ni kwa kujadiliana pamoja na sio wewe kutoa maamuzi tu. Kumbuka hata huyo unayemsema kurudiana naye pia anayo mapungufu yake tena utakuta ni makubwa kuliko ya mkeo na kama Hana hofu ya Mungu ndani yake tegemea kukulipa kisasi kwa ulivyo muacha: ndio baadhi ya akili za wanawake zilivyo Mkuu ni bora ukarudiana na mkeo
hawa ndo wanarudisha mambo nyuma sasa wewe una leta mambo ya dini na huruma wakati umesoma kuwa alikuja na dada yake akapata kipigo
 
Timua huyo akaoane na mlokole mwenzake wakafanya pamoja morning glory kanisani, wakati wake wangine wanafanya morning glory na waume zao kitandani...
 
But inawezekana naje mlokole aolewe na mtu ambaye sio mlokole, nijuavyo mm huwa hawakubali unless na wewe ni mlokole au ulimuoa kabla hajaokoka
 
Tatizo ulikosea kuchagua uyo Mke alipaswa kuolewa na Mzee Wa kanisa.
 
hawa wachungaji huwa siwaamini kabisa kwanza wanapenda sana wake za watu na wanatongoza vizuri kweli mke wa mtu hakataii
 
But inawezekana naje mlokole aolewe na mtu ambaye sio mlokole, nijuavyo mm huwa hawakubali unless na wewe ni mlokole au ulimuoa kabla hajaokoka
Mkuu rudia tena kusoma kuna mistari kasema na yeye alikuwa katka hilo kanisa ila baadae akaacha
 
Sio vizuri kuwalaumu watumishi wa Mungu maana haya ni maelezo ya upande mmoja, hatujamsikia mke wako naye akijieleza.

Lakini mwisho wa siku binti aliyeokoka kweli kweli ni mwanamke bora wa kuoa.

Kwani kuokoka kutamfanya kuwa mtii kwa mme wake,

Lakini wewe inaonekana ni kahaba wa kiume mwenye hadi wanawake wa akiba ktk mazingira hayo mlokole mtashindana tu usikute ameshakuona ktk ulimwengu wa Roho ukijirusha na hao wanawake zako wa akiba alipokuambia ukaja juu.
 
Miezi miwili iliyopita nilipelekwa polisi na wazazi wa mke wangu, kwa kosa la kumpiga binti yao karibu nimuue, ndugu walikuja kunitoa

Iko hivi;
Huyu binti nilimuoa miaka miwili iliyopita na tuna mtoto mmoja, yeye na wazazi wake wote wameokoka, Hivi sasa naweza kusema kwamba mke wangu ameolewa na kanisa na si mimi.

Akitoka kazini saa kumi na moja jioni anakwenda kwenye maombi kanisani hadi saa tatu , na hii ratiba ni kila siku Monday to Friday, Jumamosi pia wanakwenda Jumapili ni kutwa nzima, wakati mwingine kuna mkesha katikati ya wiki, hali hii, imefanya ashindwe hata kupataa muda wa kumlea mtoto wetu wa mwaka alielazimika kumwachisha ziwa akiwa na miezi mitatu kutokana kubanwa na mambo ya kanisa.

Mtoto huyu ni kama amebadilishiwa mama, maana sasa analelewa na house girl wetu kwa hali na Mali
Ilifika pahala nikashindwa kuvumilia hali hii na nikamuita na kumueleza hali halisi na kumtaka abadilishe ratiba zake, akadai kwamba hana jinsi kwa kua ratiba ya kanisa kwake haina substitute , nikamwambia ni amri sio ombi

Akaendelea hivyo hivyo, kwa Mara ya kwanza nilimpa kipigo kwa kukaidi amri yangu, niliendelea kumpiga mara kwa Mara sababu ikiwa ni kanisa, kila tunapoitwa kusuluhishwa wazazi wake humtetea na kudai walikosea kunipa mm binti yao, ikawa tunagombana na wazazi wake vikaoni hadi nikaamua kuachana na vikao.

Mwanzoni mwa mwezi wa sita alidai kuna mkesha wa maombi siku hiyo na hivyo atalala huko, nikamwambia ukitoka huko utafute nyumba nyingine, baadae mama yake akanipigia kwamba kuna mkesha hivyo wote watalala church kwenye mkesha, nikamjibu haiwezekani wamruhusu wife arudi kwa kuwa ana mtoto mdogo, akakata simu

Kweli, wife hakurudi, ila kila saa alikua akinipigia simu karibu usiku kucha nami sikua napokea naiangalia tu hadi inakatika hadi saa kumi alfajiri, alikuja amesindikizwa na dada yake maana walijua nimekasirika sana

Walipofika tu niliwakamata wote wawili na kuwapa kipigo kizito sana hadi wife kuzirai, dada mtu aliniponyoka na kukimbilia main road huku nikiwa nimemtengua mbavu akapanda boda boda, saa moja wazazi wa wife wakaja nilikua nimemfungia stoo wakamchukua wakaenda nae.

Baadae wakanifuata kazini na polisi wakaniweka ndani kwa shambulio la kudhuru mwili, nilitoka kesho yake , kesi ikahamia Ustawi wa Jamii tuliitwa pale, mbele ya wazee wa pande zote, ikaamriwa kwamba binti arudi kwa wazazi wake hadi hapo baadae hali ikiwa nzuri, ila wazazi wake wakasema wanamchukua kimoja hawanihitaji tena, kwamba nisubiri taratibu za talaka, nikasema haina shida nipo tayari, tukaja nyumbani wakamchukua mtoto na hg na nguo zake wakarudi kwao

Nimeyasahau hayo naishi kwa auheni kiasi kwa sasa Ingawa bado nina msongo, surprisingly Friday wife akanifuata kazini hatukua tumeonana for two months, roho yangu iliingia kitu flani hata mtoto wangu sikutaka hata kuwa naenda kumuona ingawa pale ustawi wa jamii niliruhusiwa

Wife akaniomba tuongee, akasema anahitaji turudiane, akadai anaomba arudi home kwangu hata kesho yake ikiwezekana, kwamba ananipenda, kwamba tutarekebisha tu, nikamwambia haiwezekani simtaki tena

Wadau wana Jf, nimemwambia atafute Mme mwingine kanisani kwao ndo watawezana na sio Mimi, mke wa hivi hanifai, hata mshahara wote anapeleka huko, hilo kanisa Jumapili moja tu kuna sadaka kama 12 hivi tangu asubuhi hadi jioni, unaweza kwenda na laki mbili usirudi hata na shilingi jioni, bado katikati ya wiki, halafu wachungaji wanaishi kifajari.

Huyo mchungaji wa hilo kanisa ameshawateka akili, mimi binafsi nilikua huko nikahama kutokana na hiyo biashara ya kutakiwa kushinda huko 24/7 na pia kutumia sehemu kubwa ya mapato yangu kanisani badala ya kujenga familia, kanisa gani wanaomba hadi salary slip? Na usipowapa watakusema sana kwamba umepotea njia na kadhalika
Kanisa gani halijali ndoa za watu?

Sio kwamba sipendi mke wangu aende kanisani, aende kwa kiasi na ratiba akizingatia kuwa yeye ni mama wa familia, inapaswa kwenda kanisani unashiriki na wenzako mchana au jioni unarudi home, jumatano unakwenda kwa maombi masaa mawili, six jioni unarudi kwako, there will be nothing wrong, lakini huwezi kwenda kushinda huko 24/7. Seven days a week, inakuja kweli hiyo?

Hata dada wa mke wangu niliempiga, mumewe pia alikuja kwangu na malalamiko kama haya ya kwangu, nimeamua simtaki tena, kwanza akili yangu imeshachanganyikiwa,
Nonsense

Ni bora nirudi kwa Rachel, alinivumilia tangu chuo hadi mtaani nikamtendea vibaya nikaoa mlokole nisiemjua, kwa kweli najuta sikujua nachofanya.
Maamuzi mazuri Mkuu ila kama unatudanganyaa kumbe umerudiana utakuwa kivuruge
 
Back
Top Bottom