Najuta kuoa mwanamke mlokole

duhhh polee mzee mzima ila but kuna nafasi naona mnaweza kukaa na kupanga mkayamaliza!

Vipo vinavyovumilika na visivyo.
Kosa kubwa ni mke kuwashilikisha wazazi.
Halafu,kama unachokisema ni kweli unastahili pongezi.Wazazi wakasema subiri taratibu za taraka!Wambie wafanye haraka, huyo hafai.Hajitambui,na hajielewi.
Wewe msaidie tu kulea mtoto,bila kinyongo,lakini swala la kurudiana nae acha.Sheria imeingilia, wazazi wake wameingilia, we ni mwanaume usiende kuliombea ushauri,amua mwenyewe. Kwani kama hakugundua kosa lake,akkubari wazazi wake wakudhalilishe,unategemea leo ndo wameacha? Labda;kama wataitisha kikao cha wazee na wale polisi na ustawi wa jamii wakakili kosa lao na kumpotosha mtoto wao,unaweza.Ila hata akibadilika atakuwa tu anakuogopa siyo kwamba amebadilika
 
Umejibu vema sana
 
Nashauri mkae muongee kumbuka mtoto kulelewa na baba au mama mwingine ni shida. Ila pia kama anakusumbua sana basi tafuta mwingine.
 
Sawa...aisee kuna mwingine yupo huku na hajaolewa ila kanisani karibia kila siku. Yaani utasikia siwezi kosa kanisani...namshukuru sana Mama yake anampelekaga shamba siku za katikati ya siku...ndio kiherehere huisha kiasi. Lakini mama akizembea mtu hushinda kanisani. Huyu kiumbe ana miaka 35 na yupo kwa mama yake analelewa kula kulala...yaani wanawake Mungu awafungue kwakweli!!!!!... Anakataa hadi wa kumuoa huo umri na anachagua...hahhaaa. Pole sana kiongozi kwa huyo mkeo...hao watu wanakuaga nusu matahira nusu mtu!!!...Luna wengine wakiokoka inakuwa ni msaada kwa wengine na familia zao....lakini wengine inakuwa ni mzigo wa misumali. Lirudishe kwao kwanza ili likasali vizuri
 
Nimefurahi sana kwamba ndoa inapitia changamoto ndio utu uzima huo .

Pole kwa kukosa uelewa Wa kutosha mke kalala kanisani ukapiga mpaka kazimia je angelala kwa mwanamume?

Jitafakari kwa kina halafu muite mkeo kaeni tafakarini pamoja kwa undani maana nyie ndio wanandoa wenyendoa yao .baada ya hapo mfikie muafaka kwa pamoja wekeaneni masharti ili kulinda ndoa yenu .

Baada ya hapo itisheni familia zenu wazazi ongeeni nao wakiwepo wekeni bayana makubaliano yenu ,nafikiri utakua mmemaliza.

Anzeni maisha mapya ya Furaha kama ikishindikana msipigane mwambie arudi kwao tu ndio utakua vizuri .


Ukipiga utajikuta unabomoa halafu garama yake ni Kubwa mno
 
Kila kitu kikizidi inakua hatareeeee. Alitaka ndoa ya nini angeishi km mtawa tuu ili ashinde vizuri huko knsn kuliko kumtesa mtoto.
 
Ndg Re hujafanya vizuri!
Kanisani kuna wazee kuna uongozi kwa nini hukupeleka issue yako ipatiwe ufumbuzi??
Inaonyesha hata maadili ya wokovu huna, si busara kupiga mkeo.
Maombi yanajenga mji, mkeo anakuombea ili ubadilike, tuliza akili uwe na hekima ujenge mji wako, usiubomoe.
Ni PM kama sio porojo tuelewane!!
 
Huyu bwana kaeleza vizuri tu. Kwake tatizo siyo mke kwenda kanisani. Tatizo ni kutokuwa na ratiba ya kuunganisha umuhimu wa kanisa na majukumu ya familia. Huwezi kumuachisha ziwa mtoto wa miezi 3 ili ukeshe kanisani. Hilo siyo kanisa......
 
Kwanza nakupa pole mkuu.Makanisa yamekuwa chanzo cha kuharibu familia nyingi miaka hii,Natoa story Fupi kwa hapa kazini kuna mama ambaye nipo naye ofisi moja huyu mama ni mwathirika lakini hataki kutumia dawa sababu mchungaji anamkataza
 
Aisee jamaa yangu wewe unatoka kwetu mwambao au sio
 
Kama karudi mpokee ila mkae chini kupanga ratiba ya church au kama hilo dhehebu unaona sio sharti mojawapo la wewe kumrudisha ndoani ahamie kanisa unalo sali wewe, kumbuka huyo ni mkeo na ana mtoto wako pia
 
Kikao na mke!!! Kikao na wazazi!!!! Hiyo ni ndoa au tawi la chama cha mapinduzi?

Mke kama hajui sababu za kuolewa hamna jinsi arudi tu nyumbani kwao.
 
Hapo okokeni wote muwe mkishinda church ndo mtaendana
 
Imeandikwa mpende jirani yako kama unavyoipenda nafsi yako lakini huyu hata mtoto wake mwenyewe hakika haipendi.

Si vyema kutetea manyanyaso mtoto anayoyapata kwa kivuli cha dini.

Na hakika ninasadiki haiwezi kuwa sawa, ikiwa ni sawa je wachungaji wa kesho watatoka wapi kama watoto wa waumini hawapati upendo na malezi ya wazazi wao.

Hakika watalaaniwa wazazi wapumbav namna hii

Uko sawa baba mtoto, ila kumbuka kuua hakufundishi, imeshindikana achana nae lea mwanao

Juzijuzi tu hapa kuna mtumishi mmoja aliwapa mimba wake za watu zaidi ya ishirini kama mnakumbuka na magazeti yaliandika eti anajibu shutuma kwa kusema He was delivered by Holy spirit to bless them kweli?!!

Mazingira hayo ni miongoni mwa vishawishi pia
POLE, POLE SANA
 
TANGAZO TANGAZO TANGAZO,
Tunaomba na wanaofaid ndoa hata kdg humu JF mjitokeze, tupeane matumain hata kdg.


Mana JF kila siku nikukatishana tamaa za kuoa, Haijalishi iwe kweli au si kweli, ila 90% ya thread za mapenz humu ni za kutendwa, kuachwa au hata visa vya mauaji kwenye ndoa.

Chama changu cha CHAPUTA kinazid kufanya usajili kila asubuh, tumeshaizd CCM kwa wing asaiv

POLE KWA WOTE WALIOTENDWA NA WALIOTEKWA KWENYE MAPENZI/NDOA
 
Hahaaaaaa kwanza nimecheka sana bro na Pili ulochokifanya n cha kiuanaume mwanaume lazma uwe na mu stand huyo Shem ka kwel alikuwa anaomba angeomba Hyo hali ya ugomvi isitokee lkn inaonekana huko Church walikuwa wapiga dili tu

Swla la kurudiana nae siwez kukushaur ww hapo amua vp anakufaa au hafai bas



Ila. Na imagine hicho kisago ulichowatwisha yy na Dada mtu nacheka sana hahaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…