Najuta kumwambia ukweli.

Najuta kumwambia ukweli.

hapo umeshalikoroga mkuu,katika mapenzi ukijidai kila kitu unachoifanya unapeleka mrejesho ujue penzi halitadumu,ni wachche wanaoishi kwa staili hiyo wanafanikiwa!cha msingi kama umempenda mtu futa historia yako na uanze moja kikubwa ni kuwa mwaminifu tu,kuna mambo mengine sio ya kumueleza mpenzi wako especially for ladies ukijidai unampa hubby list ya njemba zilizokugegeda ujue utaonekana kituko tu na mwisho wake utamwagwa tu.
 
yaani huyu ana wivu na dushelele yake ,kabla hajaimiliki?:love:
 
kwani yeye hajawahi kufanya mapenzi,kama ni kweli hapo sawa lakini kama alishawahi basi aache unafiki.
 
... wewe na mchumbaako mna umri gani? nnapata wasiwasi na maturity na exposure yenu. Nnaona dalili za kuwa malezi yenu ni ya "geti kali". Kipimo cha mpenzi/mke/mme mwema sio idadi ya migegedo aliyopitia, ni zaidi ya hilo!
 
kwani yeye hajawahi kufanya mapenzi,kama ni kweli hapo sawa ....

Hata kama!!!
Mtu huwa na wajibu pale kutakapokua na haki!!!
Mi nahisi huyo mwanamke kageza tu kujinunisha, just aonekane anapenda sana tu!
 
Hicho ndo anachokiona kipaumbele kwenye mahusiano yenu. Hongera zake.
 
Hamgegedani ili iweje? Sasa hivi ataliwa mbele ya macho yako, eti mpenzi wangu wakati hamjagegedana, upuuuzi tu.
 
kaa naye umwelekeze polepole hayo ndo maisha. atakuelewa tu hakuna mkamilifu
 
JF vocaburaly inaongeeka kuna dushelele,mpwehlele ili la kwako vongo naona ndio jipya,,,,

Hahahahaaa!
Vongo = uwazi mkubwa uliojificha kwa nje! Mf: msitu ukiuangalia kwa juu, utaamini umefungana hadi chini, kumbe chini kuna uwanja wa mpira!!!!
Haya keso ukiskia VONGO we jua tobo lililojificha!!!
 
huyo ni mzushi tu, tena fanya juu chini umgegede kabla ya ndoa ili ujue mbivu ama mbichi
anaweza kuwa anakuzuga anataka kukuuzia mbuzi kwenye gunia.
ukakuta ngoma ilishakuwa used long
 
Many marriages suffer because spouses are holding on to past mistakes, past failures, past disappointments, past heartbreaks, past rejections & past relationships. You cannot revisit the past & undo the hurtful wrong that happened. You cannot unwind the hands of time. You cannot erase the scars. But you can choose to forgive, trust God & move on. No marriage can ever see a better future without letting go of the past. Every marriage has some degree of regrettable past. But the successfully married practice daily forgiveness on the altar of prayer. Don’t build a monument of your spouse’s past sin in your heart & when you’re wrong don’t be too proud to apologize. Give your marriage a new breath of life. Today; let-go & forgive your spouse for everything in the past. “Be kind to one another, tenderhearted, forgiving one another, as God in Christ forgave you.

 
Many marriages suffer because spouses are holding on to past mistakes, past failures, past disappointments, past heartbreaks, past rejections & past relationships. You cannot revisit the past & undo the hurtful wrong that happened. You cannot unwind the hands of time. You cannot erase the scars. But you can choose to forgive, trust God & move on. No marriage can ever see a better future without letting go of the past. Every marriage has some degree of regrettable past. But the successfully married practice daily forgiveness on the altar of prayer. Don’t build a monument of your spouse’s past sin in your heart & when you’re wrong don’t be too proud to apologize. Give your marriage a new breath of life. Today; let-go & forgive your spouse for everything in the past. “Be kind to one another, tenderhearted, forgiving one another, as God in Christ forgave you.


Thanks much for your wise advice may the Lord our God bless you.
 
....
Mungu atulinde tu!

Mkuu ukishachagua kumcha Mungu kusubiri wala siyo jambo gumu kiivyo. Pia ukipenda kwa dhati hutashindwa kusubiri otherwise labda uwe umetamani.
 
Back
Top Bottom