Najuta kuanzisha biashara ya baa, nashindwa na gharama za uendeshaji

FUSO

JF-Expert Member
Nov 19, 2010
31,654
37,884
Bia zinashuka bei wateja siwaoni; muda huu nipo bar sina wateja kabisa kuna meza niliyokaa mimi na mbili zingine za wateja .. Umeme Maji Mishahara ya wahudumu; TRA ni sheshe; naomba ushairi wa wadau wa sekta hii hali so nzuri.

Muda huu ni saa nne na robo saa sita kamili nafunga bar kwa mujibu wa sheria - sijauza kabisa. Nipeni mawazo ama ushauri.
 
Bia zinashuka bei wateja siwaoni; muda huu nipo bar sina wateja kabisa kuna meza niliyokaa mimi na mbili zingine za wateja .. Umeme Maji Mishahara ya wahudumu; TRA ni sheshe; naomba ushairi wa wadau wa sekta hii hali so nzuri.

Muda huu ni saa nne na robo saa sita kamili nafunga bar kwa mujibu wa sheria - sijauza kabisa. Nipeni mawazo ama ushauri.
Tunapunguza kutegemea kodi ya pombe na sigara vumilia tusake vyanzo vingine
 
Mambo makubwa yakuzingatia kwenye bar..

Jiko..jiko likiwa vizuri bar itachanganya tu
Wahudumu..hakikisha unabadili wahudumu wakishazoeleka,na wawe wazuri pia
Mziki mzuri..hakikisha una sound system nzuri na dj wakisasa,jitahid wkend uwe unaleta hata wacheza show uchwara fanya PA za maana
 
Bia zinashuka bei wateja siwaoni; muda huu nipo bar sina wateja kabisa kuna meza niliyokaa mimi na mbili zingine za wateja .. Umeme Maji Mishahara ya wahudumu; TRA ni sheshe; naomba ushairi wa wadau wa sekta hii hali so nzuri.

Muda huu ni saa nne na robo saa sita kamili nafunga bar kwa mujibu wa sheria - sijauza kabisa. Nipeni mawazo ama ushauri.
Pole mkuu kwa changamoto unazopitia,hii awamu ya MKOLOMIJE ni hatari sana kwa biashara Mpya,biashara zinazosurvive ni zile ambazo zilikuwa zinafanya vizuri kipindi cha kikwete na zenyewe zinaenda kwa kuhemea "PUA MOJA".
 
Bia zinashuka bei wateja siwaoni; muda huu nipo bar sina wateja kabisa kuna meza niliyokaa mimi na mbili zingine za wateja .. Umeme Maji Mishahara ya wahudumu; TRA ni sheshe; naomba ushairi wa wadau wa sekta hii hali so nzuri.

Muda huu ni saa nne na robo saa sita kamili nafunga bar kwa mujibu wa sheria - sijauza kabisa. Nipeni mawazo ama ushauri.
umeonaga wapi matajiri wauza pombe???
bar huvuma kwa muda na kufa jumla na wateja wanahamia bar mpya.
hiyo biashara hainaga mwisho mwema zaidi ya kuchakaa.
badili biashara hasa wakati huu wa magu walevi wanarudi nyumbani saa 12 jioni, mambo sio shwari kabisa
 
Mkuu hii biashara ni biashara uliyoshawahi kuifanya kabla au ndo kwanza unaianza?awam hii fanya kile tu ambacho una ujuzi nacho otherwise ukianza kitu ambacho huna ujuzi nacho mtaji ukikatika kuja tena kuurudisha ktk himaya yako kichwani utakuwa umeshafanana kama msaga unga mashine jinsi ulivyojaa mvi.
 
Bia zinashuka bei wateja siwaoni; muda huu nipo bar sina wateja kabisa kuna meza niliyokaa mimi na mbili zingine za wateja .. Umeme Maji Mishahara ya wahudumu; TRA ni sheshe; naomba ushairi wa wadau wa sekta hii hali so nzuri.

Muda huu ni saa nne na robo saa sita kamili nafunga bar kwa mujibu wa sheria - sijauza kabisa. Nipeni mawazo ama ushauri.
Nenda Kondoa kachukue mabinti wa kirangi,sasa wewe mwenyewe mmiliki ,wewe mwenyewe mhudumu,wewe mwenyewe mteja,biashara ya wapi hiyo lazima uisome tu namba
 
Weka wahudumu wenye mizigo ya kutosha, wateja watakuja wenyewe. Badilika acha kufanya biashara kizamani.
 
Back
Top Bottom