Najuta kuacha kazi

Najuta kuacha kazi

La Princesa

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
1,056
Reaction score
1,188
Mkataba wangu wa kazi uliisha nikatafuta kazi sehemu nyingine nikapata,mme wangu akanishawishi kuwa mshahara ni mdogo kuliko Mwanzo halafu ni mbali na yeye so bora nijiajiri huku nikiangalia fam kwa ukaribu

Toka nimeacha kazi,nakosa hata pesa ya mahitaji yangu muhimu,mtaji nilioahidiwa siuoni,nna madeni chungu nzima coz nawasomesha wadogo zangu wawili walikoko college(jamaa hajawi hata kunisupport na anajua situation ya nyumbani kwetu) inaniuma sana pale mama yangu anaponiomba hata elfu 20 nakosa ya kumpa wakati nikiwa kazini nilikuwa nampa pesa nyingi na kuhudumia fam bila shida..

Roho inaniuma coz ninashuhudia jinsi mme wangu na wanafamilia wenzie wanavyopanga budget ya matumizi ya wazazi wao (kwa whattsapp family group na amount ili wawapelekee wazazi wao wakati mimi mama yangu hana kitu kabisa..kwa kweli nimekata tamaa na sijui hata nifanye nini😭😭kuna wakati natamani hata kurudi kwetu ili nikajipange upya na kuanza upya maisha yangu ila nafsi inakataa

Note:mme wangu hajawahi kunikosea ni mambo kama hayo tu ndo yanayoniumiza,halafu anapenda niende kwao tu,hataki niende kwetu na wakati njia ya kwenda kwao ni lazima upite mkoani kwetu na mara nyingi tunakuwa na private car but kupita anakuwa mgumu sana..hivi wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa situations kama hizi mnazihandle vipi?NISAIDIENI NAKUFA kwa MAWAZO

PS: NSSF nao wananizungusha kweli kunipa kapesa kangu kadogo,nina imani nikikapata katanisaidia kuinuka tena
 
Manofu,
Mkuu sidhani,unajua suala la yeye kutokunipa pesa au kunipa pesa kidogo sana (wakati ni mtu mwenye kipato cha kati,yaani salary yake si chini ya 3m per month)sikuwa naitilia maanani coz na mi nilikuwa nna kipato changu japo ni kidogo ila nilikuwa nnajimudu kwa almost kila kitu bila kumdisturb
 
Mkataba wangu wa kazi uliisha nikatafuta kazi sehemu nyingine nikapata,mme wangu akanishawishi kuwa mshahara ni mdogo kuliko Mwanzo halafu ni mbali na yeye so bora nijiajiri huku nikiangalia fam kwa ukaribu

Toka nimeacha kazi,nakosa hata pesa ya mahitaji yangu muhimu,mtaji nilioahidiwa siuoni,nna madeni chungu nzima coz nawasomesha wadogo zangu wawili walikoko college(jamaa hajawi hata kunisupport na anajua situation ya nyumbani kwetu) inaniuma sana pale mama yangu anaponiomba hata elfu 20 nakosa ya kumpa wakati nikiwa kazini nilikuwa nampa pesa nyingi na kuhudumia fam bila shida..

Roho inaniuma coz ninashuhudia jinsi mme wangu na wanafamilia wenzie wanavyopanga budget ya matumizi ya wazazi wao (kwa whattsapp family group na amount ili wawapelekee wazazi wao wakati mimi mama yangu hana kitu kabisa..kwa kweli nimekata tamaa na sijui hata nifanye nini😭😭kuna wakati natamani hata kurudi kwetu ili nikajipange upya na kuanza upya maisha yangu ila nafsi inakataa

Note:mme wangu hajawahi kunikosea ni mambo kama hayo tu ndo yanayoniumiza,halafu anapenda niende kwao tu,hataki niende kwetu na wakati njia ya kwenda kwao ni lazima upite mkoani kwetu na mara nyingi tunakuwa na private car but kupita anakuwa mgumu sana..hivi wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa situations kama hizi mnazihandle vipi?NISAIDIENI NAKUFA kwa MAWAZO

PS: NSSF nao wananizungusha kweli kunipa kapesa kangu kadogo,nina imani nikikapata katanisaidia kuinuka tena
Njoo PM dada May be you are two words away to get out of that mess
 
Pole sana, kaa ongea naye na umkumbushe alichokuaidi labda amesahau, ukiwa kimya itakula kwako, anachokufanyia sio kwamba anajisahau, anakijua na malengo anayo ameyapangilia, wanaume hawa tuwaheshimu ila yakizidi unaruka naye atakuelewa tu
 
Pole sana, kaa ongea naye na umkumbushe alichokuaidi labda amesahau, ukiwa kimya itakula kwako, anachokufanyia sio kwamba anajisahau, anakijua na malengo anayo ameyapangilia, wanaume hawa tuwaheshimu ila yakizidi unaruka naye atakuelewa tu
My dear nilishakaa naye tukaongea na tukamaliza kwa kumshukuru Mungu (Maombi)ila huwezi amini ni six months toka tuongee na yupo kimya jamani..i will try tena leo kama akija na mood nzuri..Asante
 
Ongea na mumeo kama mlipanga uache kazi naimani mnaweza kupanga ni jinsi gani mnaweza kuondokana na changamoto uliyonayo .
Ushauli ukitaka kuacha kazi sababu mume kakwambia hakikisha anakipato Mara 2 au tatu yako
 
Wanaume wengi hawapendi tufanye kazi ila pia hawataki tuwategemee kwa kila kitu. Akili kumkichwa, anaekushawishi kuacha kazi ilihali hakusaidii kwa lolote inapaswa ujitafakari sana maana kuna leo na kesho.
 
Kuna kitu nimekutumia PM, ingawa naona kama umeifunga PM yako.
Mkuu, nakushauri ungefunguwa PM yako ili upate msaada kwa hali hii yenye unaipitia. Na ikiwa utaona kama panatokea mtu mwenye kukuletea yasio kupendeza huko PM, basi nivyema ukam-block.
 
My dear nilishakaa naye tukaongea na tukamaliza kwa kumshukuru Mungu (Maombi)ila huwezi amini ni six months toka tuongee na yupo kimya jamani..i will try tena leo kama akija na mood nzuri..Asante
Yaan sa zingine ukisubiria mood miaka itapita unakutana na kina chale tu best.....kuwa na msimamo kiasi atakuelewa
 
Issue yako kidogo ipo very sensitive, na unapaswa upate mshauri mzuri na mwenye uzowefu mkubwa kwenye haya mambo za ndoa.

Otherwise, naona kama hapa unatoa details za kuhusu fimilia yako unnecessary. Na simaanishi kwamba humu sio sehemu sahihi, lahh.... Ninacho jaribu
kumaanisha ni kwamba pengine jiandae kupokea kila utakalo kutana nalo humu (pengine ndio ukachanganyikiwa zaidi) kwasababu umeamua kuweka mambo yako mengi wazi (including you're husband details)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom