Siku hizi polisi wamebandika namba zao kwenye mlango wa dharura wa kila basi. Jaribu kuangalia.
Unaposema anaendesha vibaya una maana gani? Anaenda mwendo mdogo? Anaenda mwendo kasi? au anaendesha pembeni ya barabara??
Tatizo la Najmunisa ni kupasuka mataili, halafu mara nyingi yanapasuka lakini basi halianguki, hivyo jiandae kulala njiani.
Unaposema anaendesha vibaya una maana gani? Anaenda mwendo mdogo? Anaenda mwendo kasi? au anaendesha pembeni mwa barabara??