Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Baada ya CCM kuanzisha kile kilichoitwa kujivua Gamba wamejikuta Wakiitwa Chama Cha Magamba na Huku Mtaani mtu ukimwita Gamba anaweza kukupiga vibaya.
Baada ya Kubatizwa Jina na "Gamba" vijana wasiweza kufikiria wa CCM wameanza kumuita kila aliye Kinyume na CCM kwa jina la "Magwanda" yaani wakimaanisha CDM
Mimi Napenda CCM waniite "Magwanda" kwa sababu ninalo Moja home Lakini wana CCM Mnajivunia kuitwa "Magamba" a.k.a "Gamba lililo Kiunoni halivuki hata kwa Shoka"
Baada ya Kubatizwa Jina na "Gamba" vijana wasiweza kufikiria wa CCM wameanza kumuita kila aliye Kinyume na CCM kwa jina la "Magwanda" yaani wakimaanisha CDM
Mimi Napenda CCM waniite "Magwanda" kwa sababu ninalo Moja home Lakini wana CCM Mnajivunia kuitwa "Magamba" a.k.a "Gamba lililo Kiunoni halivuki hata kwa Shoka"