Najiuliza sana hili suala

Najiuliza sana hili suala

The Butcher

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2015
Posts
348
Reaction score
495
Wasalaam wakuu

Natumaini mnaendelea vizuri na mapambano ya kuhakikisha maisha yanaenda saafi.. straight to the point huwa najiuliza sana Hawa watu hasa wadada wanaojiuza huwa hawana wasiwasi na afya zao au vipi? Maana yeye akisikia pesa popote anakubali.. Afya zao hawana wasi wasi?? Na huu ujasiri wanautoa wapi?

Nakaribisha mjadala
 
Mbali na afya, mi huwa najiuliza wanawezaje kustahimili ngono na wanaume tofauti tofauti kwa siku moja, na kila mwanaume na mapigo yake.
 
Mbali na afya, mi huwa najiuliza wanawezaje kustahimili ngono na wanaume tofauti tofauti kwa siku moja, na kila mwanaume na mapigo yake.
Ukisikia mwanamke ana roho ngumu ndio hii sasa
 
Mbona hujawahi kujiuliza hivi wanajeshi na pilice hawana mashaka na uhai wao?
 
Mbali na afya, mi huwa najiuliza wanawezaje kustahimili ngono na wanaume tofauti tofauti kwa siku moja, na kila mwanaume na mapigo yake.
Kwani hakuna wanaume wanaolala na ke zaidi ya mmoja kwa siku mkuu?
 
Wanajua sana effects za ukahaba ila kutokana na kwamba wana shida/njaa no way out,

Wengine wanajiuza baada ya kugundua ni HIV positive so nothing to lose for e'm
 
Wanatumia kinga kwa ambao hawana ukimwi na hio kazi haitaji mtaji wanapata pesa kiurahisi ujasiri unakuja hapo
 
Licha ya kujali afya zao..hua najiuliza hawajawahi kuwaza kufanya biashara nyingine isipokua ya kuuza miili!!? Na wanawezaje kumudu kitombo cha kila Siku tena size za dick tofauti!!..?

Madada poa wanaustahimilivu wa kipekee jamani
 
Nyie wanunuzi mnewahi kujiuliza hayo maswali? If not basi tulia tu.
 
Licha ya kujali afya zao..hua najiuliza hawajawahi kuwaza kufanya biashara nyingine isipokua ya kuuza miili!!? Na wanawezaje kumudu kitombo cha kila Siku tena size za dick tofauti!!..?

Madada poa wanaustahimilivu wa kipekee jamani
Kabisaaa
 
Wasalaam wakuu

Natumaini mnaendelea vizuri na mapambano ya kuhakikisha maisha yanaenda saafi.. straight to the point huwa najiuliza sana Hawa watu hasa wadada wanaojiuza huwa hawana wasiwasi na afya zao au vipi? Maana yeye akisikia pesa popote anakubali.. Afya zao hawana wasi wasi?? Na huu ujasiri wanautoa wapi?

Nakaribisha mjadala
Mijadala ya kujiuza imetosha we kama unawataka nenda kanunue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom