amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,369
Mkuu sio ngumu Sana ni vile unatune mihemuko yako na kuamua kukaa kimya, hata mtu aongee vipi wewe unakaa kimya..Ukimya si siraha hatari SanaNingumu Kaka,Ila ukimya nifimbo mbaya Sana kwa mpinzani wako,ukiweza utashinda mengi