"Simu ya wizi"Ilikuwaje Mkuu?
Nani kakudanganya halotel upo salama!!!!?Karbu halotel mkuu...achana na hao wanaokubezaa...net work yenyew kinyonga afu wanafanya kuvujisha tena faraga zetuu ..dadadeq
hahahahaUnaongelea Tigo ipi kwani?
AbeeeeeeeDemi, Demi, Deemii Deeemiiiii!!!!
Hawajatuhakikishia kwamba wanaleak taarifa zetu kama hao waliofanya public kabxaNani kakudanganya halotel upo salama!!!!?
Sio kwa uwazi na tambo walizo oneshwa tigo!Mtoa mada punguza wenge, kokote uendako mamlaka ikitaka taarifa zako itapewa.
sasa wewe una siri gani mpaka uhangaike hivyo?Baada ya kuona uupuzi ule, nikaidumbukiza kwenye gesi wife akasema mbona unavunja line nikamjibu kuna videmu Nina isumbua akafurahii kumbe nina yangu moyooni