Sina mengi ina namshukuru Mwanasheria msomi wa TIGO Bw. FREDY. Naachana na TIGO RASMI.
Unajitoa kwani ulikuwa na hisa?
Kila la heri. Ila ujue hata ukihama, kama line yako ya Tigo uliitumia vibaya, mkono wa sheria utakufuata huko huko!
Hiki ndicho chanzo cha jina la 'My damned Demi'Unaongelea Tigo ipi kwani?
Demi, Demi, Deemii Deeemiiiii!!!!Unaongelea Tigo ipi kwani?
Sina mengi ina namshukuru Mwanasheria msomi wa TIGO Bw. FREDY. Naachana na TIGO RASMI.
Ilikuwaje Mkuu?Labda ukakae mwezini.
Mimi walinisaliti halotel wakawaleta mpaka kwangu.
Daaa aisee nimesa vibaya nikadhani unatoa rasmi tigoSina mengi ina namshukuru Mwanasheria msomi wa TIGO Bw. FREDY. Naachana na TIGO RASMI.
Hakuna unaemkomoa si ajabu hata vocha zenyewe huwekagi, na kama unaweka basi vijero na kulipa madeni tu.
yaan watu wachache na hasira zenu mnaungana et kuvunja lain za tigo, ili kuwakomoa, mnaakil kweli? yaan hao tigo wanaingiza wateja wapya kila siku na kamwe hawawez teteleka sabbu ya wajinga wachache wanaojitoa ktk huduma zao..
ukweli mchungu