katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni ukweli ndio maana halafu ujue siku hizi sipendi kutukana watu wawatu na yangu mengi na fanya.Utajiju
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni ukweli ndio maana halafu ujue siku hizi sipendi kutukana watu wawatu na yangu mengi na fanya.Utajiju
Nitukane tu maana utazidi kujionesha ulivyo kiazi, mimi nimekutukana? Nimetumia haki yangu ya uhuru wa kutoa maoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni ukweli ndio maana halafu ujue siku hizi sipendi kutukana watu wawatu na yangu mengi na fanya.
[emoji23][emoji23][emoji23]Tupumzike na nyuzi zisizo na mbele wala nyuma
Amepaniki[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakazia maana ilikua kero.
Anaandaa barua huko akija itupia hapa lenzi itahitajika.Amepaniki
Usiondoke sasa babe ili akija unisaidie kusomaAnaandaa barua huko akija itupia hapa lenzi itahitajika.
Teh teh nitakusomea babe ila akiangusha ung'eng'e hapa patakua hapatoshi, nitatoka ndukiiiiiUsiondoke sasa babe ili akija unisaidie kusoma
Hahaha gugo si ipoTeh teh nitakusomea babe ila akiangusha ung'eng'e hapa patakua hapatoshi, nitatoka ndukiiiii
Jamani napumzika kisa nimekuwa naandika post kama nimeajiriwa humu na comment kama na pewa posho shule yenyewe masomo magumu.
So najipa break nisome kwanza shule ningumu kudeal nayo na nimechagua?JF
Kuisitisha kwanza Ngoja nijipe hewa.
Baadae.
UmemalizaTupumzike na nyuzi zisizo na mbele wala nyuma