Najiona mjinga sana

Usijiingize mzima mzima kwenye mapenzi wakt bado hujamjua mtu....mwezi ni mdogo sana kusex nae mtu kam huyo ungemgundua mapema tu. ungemnyima tu angeshasepa mana alikua hakupenda
Nb.usipende kujirahisisha hata kam umempenda vip mtu
Ww kwako tunachukua mda gani tujiandae!
 
Amedunguliwa mara talaa

lkn wapo wengi humu sio peke yako

wamedonyolewa mwezi mzima kama

sio mwaka
 
Hiyo ni public good, it is non consumption by one does not prevent another from consuming it
 
ha ha ha basi akutafute umtibie ili kirudi hahaaa! hizi girlish staffs zinakeraga eti anajutia...anajutia kupata utamu hahaaaa
Akiwa mwanamke ataelewa...kwa sasa muache autumie 'u-girl' wake vema!
 
Ladies tabia ya kuingia katika mahusiano with too much expectations muache.

Take it easy, relax and enjoy the ride.

If it doesn't work out si basi.

Usijiumize unnecessarily.
 
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Kapime moto maana najua mlikula dry,maaana ni principal kuwa;ukimpenda,umemumini.
Thereafter kapime afya+rudi kwa mungu wako utubie kwa kosa ulilofanya.
A master of disaster 87


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…