Time heals all wounds
Waliosema huo usemi hawajakosea..
Mimi nimewahi pitia hiyo leo ukiniambia nikwambie kilichokuwa kinanisumbua hata sikikumbuki, imagine that.
Itapita miaka utasahau hata nini kilikuwa kinakupa stress.
Shida zingine tunapitia ili tuweze kuthamini hata kidogo tunachokipata.
Huwezi thamini kuwa na TV kama kila siku unayo, au kulala nyumba haivuji kama hujawahi ona watu wamehama nyumba mvua ikinyesha.