Najikuna sana nikinyoa

mwana ally

JF-Expert Member
Jan 30, 2014
363
119
Habari wana Jf,

Napata taabu sana inapofikia muda wa kufanya zoezi la usafi kunyoa makwapani na sehemu za siri napata muwasho sana. Nimejaribu kutumia aina tofauti za nyembe.

Mashine za kunyolea hata shaving cream nimeshatumia, ila matokeo ni hayo ya muwasho mkali na kujikuna. Nikiona nywele zimeota tu naanza kuwaza jinsi ntakavyoteseka mara baada ya kuziondoa.

Na katika hali ya kawaida siwezi kuvumilia kukaa na manywele bila kuondoa maana ni chanzo cha uchafu nsaidieni kama ipo njia nyingine salama zaidi
 
Pole ndugu yangu najua unavyopata tabu na wengine wanaweza kupuuza ila hali hiyo inaweza kukukuta mbele za watu lazima ujikune. Ni hivi acha kunyoa kwa wembe. Nunu mashine zile za kunyoa kama za saloon utumie room kwako na usiwe unanyoa mpaka kwenye ngozi. unaweka size ya brash. baada ya hapo hswari
 
Asante best. ila huwezi amini nina mashine kama tano ..nimekuwa nikishauriwa tu nanunua ni kasheshee
 
Tumia mkasi kupunguza hivo vinyoleo au unaweza kujaribu waxing,lakini nadhani utawashwa vilevile....kuna after shaving cream za maeneo hayo ambazo unaweza kutumia kupooza vinyoleo baada ya kunyoa.Na ukiwa unatumia kiwembe tumia shaving gel kulainisha eneo kabla hujaanza kujikwangua!
 
Asante yaitwaje hiyo after shave mkuu

mmmmh! huyo aliyekushauri hapo juu sio mkuu ni mdada tu,,,,,tatizo lako sio kunyoa ila ni mfumo wako wa kunyoa, usinyoe kipara maeneo hayo, kama una mashine kweli weka saizi ya kati na jitahidi usijikwangue kwenye ngozi maana muwasho hutokana na mikwaruzo juu ya ngozi + jasho la mwili.....kama hiyo haikusaidii basi jitahidi kupaka powder maeneo hayo ili yawe makavu mda wote na kukusaidia kukwepa jasho kutoka.
 
Habari wana Jf,

Napata taabu sana inapofikia muda wa kufanya zoezi la usafi kunyoa makwapani na sehemu za siri napata muwasho sana. Nimejaribu kutumia aina tofauti za nyembe.

Mashine za kunyolea hata shaving cream nimeshatumia, ila matokeo ni hayo ya muwasho mkali na kujikuna. Nikiona nywele zimeota tu naanza kuwaza jinsi ntakavyoteseka mara baada ya kuziondoa.

Na katika hali ya kawaida siwezi kuvumilia kukaa na manywele bila kuondoa maana ni chanzo cha uchafu nsaidieni kama ipo njia nyingine salama zaidi

Waxing ndio kiboko ya yote hayo..unapiga ile kitu unakaa miezi miwili hadi mitatu ndio zinaanza kuchipua! achana na topaz!
 
Tumia mashine lakini usinyoe upara nyoa saizi kama ndio zinaota hutopata hiyo shida tena hakika mkuu
 
Tumia mkasi kupunguza hivo vinyoleo au unaweza kujaribu waxing,lakini nadhani utawashwa vilevile....kuna after shaving cream za maeneo hayo ambazo unaweza kutumia kupooza vinyoleo baada ya kunyoa.Na ukiwa unatumia kiwembe tumia shaving gel kulainisha eneo kabla hujaanza kujikwangua!

Naomba nielekeze waxing mkuu.
 
Naomba nielekeze waxing mkuu.

Kuna wax za aina nyingi kama za madukani zilizokwisha tengenezwa na za kienyeji ni sukari ilopikwa na maji ikaweka juisi ya limau inakuwa nzitoo kama shira..unatumia na vipande vya kitambaa vyeupe.Unapaka hio sukari kwenye vinyoleo na kuweka kitamba,kandamiza taratibu sekunde kadhaa kisha kivute kwa nguvu!kwahio kitaondoa vinyoleo vyote...
Onyo: tegemea maumivu
 

Attachments

  • 1401824599690.jpg
    1401824599690.jpg
    21.6 KB · Views: 129
Kuna wax za aina nyingi kama za madukani zilizokwisha tengenezwa na za kienyeji ni sukari ilopikwa na maji ikaweka juisi ya limau inakuwa nzitoo kama shira..unatumia na vipande vya kitambaa vyeupe.Unapaka hio sukari kwenye vinyoleo na kuweka kitamba,kandamiza taratibu sekunde kadhaa kisha kivute kwa nguvu!kwahio kitaondoa vinyoleo vyote...
Onyo: tegemea maumivu

Nataka ya dukani, hayo ya sukari nitajikuta nakula yote.

Inafaa kunyolea ndevu?
 
Back
Top Bottom