The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,109
- 115,842
ushauri wa kumuona dokta naupokea ila hayo mengine mmmh.
Boss sijui kwa nini unanichukia lol
sikuchukii ila sijajua kama unataka nikupende
now nitaanza ku pay attention....
ushauri wa kumuona dokta naupokea ila hayo mengine mmmh.
Boss sijui kwa nini unanichukia lol
Go get your thyroid checked...
kwani mbona ni vitu vingi naandika lakini sielewi kwanini ile ya juzi imekugusa namna hiyo.
anyway my dear,watu hawatanikimbia,huwezi kuamini huko mtaani watu wananipenda sana,sema tu nikinuna wanamiss ucheshi wangu.Na mtu ukishagundua una tatizo basi ni mwanzo wa tiba wa hilo tatizo.Ushauri mnaonipatia mpaka dakika umenisaidia kwa kiasi kikubwa tu na Mungu awabariki kwa hilo na ninashukuru.
sikuchukii ila sijajua kama unataka nikupende
now nitaanza ku pay attention....
Kila mtu anataka kupendwa.Nikijua unanipenda nitafurahi tatizo sijui unaowapenda wanafanyaje hadi unawapenda.
Hata hivyo sitafake kuwa kile nisichokua ili the boss anipende japo napenda anipende.Lakini labda nikionesha kuwa nampenda the boss labda hicho kitafaanya awe na chembe ya upendo kwangu hata kama mitazamo yangu(kama ule wa juzi) haipendi.
Wala sikuguswa. . .
Ni mshangao tu!!
pole cheusie,hope ni vizuri kuwaona wataalam kama ulivyoshauriwa.amin utakua normal.all da best.