Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,768
- 3,876
Kwani kwenda kuwa mchanja kuni nako kunahitaji knowledge ya "mathematikisi?"Naomba ni kusahihishe apo mkuu sio kweli kwamba uki fail bam ndo hupati chuo nina mshikaji wangu ana CBG-DDC ila bam ana F kapata SUA forest
Akili ipi anayotakiwa kuitumia ikiwa akili aliyoitumia mwanzo imemuangusha?.Pole sana ndugu hapo ni shida shida sana kupata chuo kuna dogo pcb anaushindi mzuri amekosa chuo , tukamshauli abadili kozi akaweka mpaka koz nyingine za science hadi IT pia wamemkataa sasa hivi anarudi kusoma diploma , huwa sipendi kumpa mtu habari mbaya lakini usikate tamaa sometimes miujiza hutokea , unahitaji kutumia akili sana katika kuchagua kozi pamoja na chuo.
Huu ufaulu wako mbona mzuri tu usife moyo mkuu utapata tu hata mwakani
Elimu haina mwisho
We ni Raia halali wa Tanzania kweli? Yani upate kiswahili C wakati kiingereza una B?
We kweli mjinga
Huu mfano wa chuo si umefungiwa kudahili?
Mkuu ungeandika kwa herufi ndogo mbona ungeeleweka pia!
Au waonesha msisitizo kwenye hio "minimamu kwalifikesheni"?
Pambana next year
Mwaka jana nimepata chuo round ya tatu ila tatizo la vijana wengi hawana taaluma ya uchaguzi wa kozi wanazopasa hivyo wengi hurundikana kuchagua kozi za aina moja ilihali competition iko juu hivyo wale matokeo ya kawaida wanaomba za kawaida wanapata mapema round ya kwanza tena zinakuwa priority ila wew ukija kustuka eti uzijaze tayar no vacant orbital[emoji28][emoji28]
Ila nikusihi tafuta vyuo vya diploma hususan private anza shule au iyo ada ichukue uanze kuchakarika tu mapema mana hata huko mbele si kuzuri
Kwani kwenda kuwa mchanja kuni nako kunahitaji knowledge ya "mathematikisi?"
Akili ipi anayotakiwa kuitumia ikiwa akili aliyoitumia mwanzo imemuangusha?.
Unanikumbusha mwaka jana one yangu ya tisa PCB nikabaki mtaani... Dahh!!!
mkopo unaweza kukosa ila sio chuo, vyuo vingi sana vinahitaji wanafunzi bongoCBG-DDE
Dogo tulia mi kaka yako ujue "First Born"Mkuu ungeandika kwa herufi ndogo mbona ungeeleweka pia!
Au waonesha msisitizo kwenye hio "minimamu kwalifikesheni"?
mkopo unaweza kukosa ila sio chuo, vyuo vingi sana vinahitaji wanafunzi bongo
Dogo tulia mi kaka yako ujue "First Born"
PAMOJA, wakubwa tunatumiaga CAPITAL LETTER TU![emoji23][emoji28][emoji1317]nime tulia big broo.Ume pita kwenye uzi wangu wa madereva [emoji1317]heshima yako broo
Mzumbe Mbeya campus ina uhitaji wa wanafunzi, ukienda kuomba chuoni kuonana na admins wanakuregister, rucu iringa pia, saut songea pia, stella Marris huko kusini hivo hivo, nenda chuoni pale watakupa nafasi labda useme hela hakuna tukuchangie vyuo vipo aisee🧐ina wezekana lakini
Braza tatizo mwaka huu pcb wamefaulu sana ... Na kwa huu utaratibu wao wa kuapply imeleta competition kubwa sana kwa hawa vijana wetu wa cbg maana watu wameachwa mpaka kwenye zile kozi za kawaida kabisa kama education....Pole sana ndugu hapo ni shida shida sana kupata chuo kuna dogo pcb anaushindi mzuri amekosa chuo , tukamshauli abadili kozi akaweka mpaka koz nyingine za science hadi IT pia wamemkataa sasa hivi anarudi kusoma diploma , huwa sipendi kumpa mtu habari mbaya lakini usikate tamaa sometimes miujiza hutokea , unahitaji kutumia akili sana katika kuchagua kozi pamoja na chuo.
Tatizo siyo kupata chuo tatizo ni chuo gani na kozi gani umepata??!Hivi hii inakuwaje?
Wakati kuna HGL, HKL wana DDE na wamepata vyuo?