Kama na ufaulu wake wa o-level ulikuwa wa kawaida, kote ni shida kwakweli. lakini itategemeana na focus zake, kama ni afya ushindani uko juu sana hata diploma, vijana wengi wamekosa
Upo teku?[emoji134]♀️[emoji24]
Nina uhakika hiyo CBG aliifaulu kwa kiwangi kisichopungua daraja 'C' O-level, hivyo anaweza kupata nafasi ya kusoma diploma ya afya la sivyo akasome diploma ya ualimu miaka 2 akimaliza akasome ualimu ngazi ya shahada. Kwa hayo masomo ya sayansi bado anasoko la ajira mbeleni.Kama na ufaulu wake wa o-level ulikuwa wa kawaida, kote ni shida kwakweli. lakini itategemeana na focus zake, kama ni afya ushindani uko juu sana hata diploma, vijana wengi wamekosa
Kaa tuliza akili, kila mtu ana mapito yake, jipange kwa mwaka unaofuata wakati ukiendelea kupata elimu ya mtaani, changamoto na furusa zilizopo, usiwaze sana wew si wakwanza, wengne walikaa zaidi ya miaka5 lakini walisimama tena.Kweli kabsa jamaa zangu piah wame kosa dp za afya
Kaa tuliza akili, kila mtu ana mapito yake, jipange kwa mwaka unaofuata wakati ukiendelea kupata elimu ya mtaani, changamoto na furusa zilizopo, usiwaze sana wew si wakwanza, wengne walikaa zaidi ya miaka5 lakini walisimama tena.
Upo teku?
Nina uhakika hiyo CBG aliifaulu kwa kiwangi kisichopungua daraja 'C' O-level, hivyo anaweza kupata nafasi ya kusoma diploma ya afya la sivyo akasome diploma ya ualimu miaka 2 akimaliza akasome ualimu ngazi ya shahada. Kwa hayo masomo ya sayansi bado anasoko la ajira mbeleni.
Ndo chuo ganiNipo kitaa
Ndo chuo gani
Ushindani n mkubwa mkuu ila kama unataka tu kwenda chuo usiombe koz ambazo unajua zna ushndan mkbwa na vyuo vikubwa...kna mdogo angu ana ufaulu kama huo nae kasoma cbg kaomba mipango dodoma kachagliwaCBG-DDE
tatizo hilo mkuu tatizo kubwa bora unge ikomalia hata E mkuu S sio principal pass aseeeee E ndo last principal pass , ,, umekosa kwa kigezo cha BAM sure i tell you DDE nao wafaham mm wengi wamepata
Ushindani n mkubwa mkuu ila kama unataka tu kwenda chuo usiombe koz ambazo unajua zna ushndan mkbwa na vyuo vikubwa...kna mdogo angu ana ufaulu kama huo nae kasoma cbg kaomba mipango dodoma kachagliwa
tatizo hilo mkuu tatizo kubwa bora unge ikomalia hata E mkuu S sio principal pass aseeeee E ndo last principal pass , ,, umekosa kwa kigezo cha BAM sure i tell you DDE nao wafaham mm wengi wamepata
Pole ila sio wewe peke yako ndugu mi mwenyewe nimekosa niliomba ST JOHN kwa tawi la Dsm (St Mark) TCU wamewafungia udahili hapa sijui hata la kufanyaNa jiona mjinga sana kwa kukosa chuo mwaka huu
Dah hii kitu ilinitokea 2016 nikakaa tu mtaani.
*UDOM FIRST YEAR 2018/19 WHATSAPP GROUP:*
Kama umechaguliwa Kujiunga na masomo katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) bofya link hapo chini au unaweza kuikopi pembeni alafu ujoin, AU ANDIKA NAMBA HAPO CHINI NIKUADD, tukutane pamoja ili tuweze kusaidiana Mambo mbalimbali muhimu unayotakiwa kuyajua wakati unaenda kuripoti UDOM.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
UDOM FIRST YEAR
Saidia kusambaza Link ili kuwafikia walengwa.
Unauma kinoma nilijilaumu kwanini hata nilienda advance(sio kitoto hizo D). sema baadae nikapotezea[emoji1]we ndo una elewa uchungu wahiki mkuu
Pole ila sio wewe peke yako ndugu mi mwenyewe nimekosa niliomba ST JOHN kwa tawi la Dsm (St Mark) TCU wamewafungia udahili hapa sijui hata la kufanya
Pia unaweza omba diploma za afya mkuu kama utapenda .....n Pm nikpe infoNime kuja kushtuka washaa ni pigaa tayari ngoja ni subiri mwakani nta omba cozi za arts tu