Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 18,958
- 41,276
Kwa akili hizi ndo mlitaka urais.?Bora kuzaliwa ngedere Newyork kuliko kuwa mtanzania.
Kwa akili hizi ndo mlitaka urais.?Bora kuzaliwa ngedere Newyork kuliko kuwa mtanzania.
Kamanda chomoa ukimbie, kuna nyama imeganda hapo nyuma.Saa ikifika mtaanza kujuta. Wacha jahazi litote mkondoni tukose sote
Ushauri nasaha mzuri sana huu mkuu.Safari njema.
Kamanda chomoa ukimbie, kuna nyama imeganda hapo nyuma.
Halafu huna umuhimu wowote katika nchi hii.Baada ya hiki ninachokiona, kwa kweli nimeanza process za kufunga biashara zangu na mpaka mwezi wa 12 nitakuwa nimehama nchi.
Kwa kweli moyo wangu anakataaa kabisa kuendelea kukaa Tanzania, nitarudi hata kama ni baada ya miaka 20 ila kwa sasa hapana let me go.
Napanga kwenda kufanya biashara zangu either Malawi, Msumbiji au Botswana.
Lazima tutakiane mema. Ndo uungwana.Ushauri nasaha mzuri sana huu mkuu.
Kama una kashamba naomba tuwasiliane nikanunue, maana naona unanda kula kuku kwa mrija kwa Magu oops TRUMP.Baada ya hiki ninachokiona, kwa kweli nimeanza process za kufunga biashara zangu na mpaka mwezi wa 12 nitakuwa nimehama nchi.
Kwa kweli moyo wangu anakataaa kabisa kuendelea kukaa Tanzania, nitarudi hata kama ni baada ya miaka 20 ila kwa sasa hapana let me go.
Napanga kwenda kufanya biashara zangu either Malawi, Msumbiji au Botswana.
Mimi napeleka biashara Msumbiji, ni mahali ambapo tayari nilianza muda kidogo kuwekeza. Lakini mimi mwenyewe nabaki hapa hapa. Hatuwezi kuwaachia waovu nchi.Baada ya hiki ninachokiona, kwa kweli nimeanza process za kufunga biashara zangu na mpaka mwezi wa 12 nitakuwa nimehama nchi.
Kwa kweli moyo wangu anakataaa kabisa kuendelea kukaa Tanzania, nitarudi hata kama ni baada ya miaka 20 ila kwa sasa hapana let me go.
Napanga kwenda kufanya biashara zangu either Malawi, Msumbiji au Botswana.
Ingieni road tuwatahiri.Mimi napeleka biashara Msumbiji, ni mahali ambapo tayari nilianza muda kidogo kuwekeza. Lakini mimi mwenyewe nabaki hapa hapa. Hatuwezi kuwaachia waovu nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nikimpata mtuUnataka na wewe uhame?
Sawa mkuu ila tunakuomba usirudi tu nchini....tunataka wafanya biashara wa ukweli si wababaishaji wasiolipa kodi. Unafikiri huko uendako hawalipi kodi, we nenda tu na usirudi huku.Baada ya hiki ninachokiona, kwa kweli nimeanza process za kufunga biashara zangu na mpaka mwezi wa 12 nitakuwa nimehama nchi.
Kwa kweli moyo wangu anakataaa kabisa kuendelea kukaa Tanzania, nitarudi hata kama ni baada ya miaka 20 ila kwa sasa hapana let me go.
Napanga kwenda kufanya biashara zangu either Malawi, Msumbiji au Botswana.