Naja jinsi nilivyo.

Naja jinsi nilivyo.

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,814
Reaction score
9,341
Wana jf, naja jinsi nilivyo.
Mimi si malaika kwamba nisikosee, wala si taahira nisiweze kuchangia.
Naomba nirekebishwe na kukosolewa pale ninapokosea.
Naomba nipongezwe pale ninapofanya vizuri.
Asanteni sana great thinkers
 
Cha muhimu ni kufuata taratibu,kanuni na sheria ziliwekwa na wamiliki wa Jf
then tutakukaribisha,hapa bwana wana Jf hawana mzaa tupo watu wa kila aina so aina yeyote ya mada uiwekayo itapata wachangiaji
kama umiona ile mada ya JAMANI NIULIZE SWALI? Tayari inawachangiaji zaidi ya 12 na ukifungua hakuna swali
so karibu mkuu hii ndo JF

MAPINDUZIII DAIMAAAA:welcome:
 
Wana jf, naja jinsi nilivyo.
Mimi si malaika kwamba nisikosee, wala si taahira nisiweze kuchangia.
Naomba nirekebishwe na kukosolewa pale ninapokosea.
Naomba nipongezwe pale ninapofanya vizuri.
Asanteni sana great thinkers

Hongera Sana Karibu...
 
Napinga udini katika jamii yetu tulivu ya kitanzania.
Mbona kwenye udini umepapaka rangi nyekundu?
 
Napinga udini katika jamii yetu tulivu ya kitanzania.
Mbona kwenye udini umepapaka rangi nyekundu?

Hiyo ni kuonyesha msisitizo kwani udini huwa unahatarisha na kutiririsha damu tuendapo mrama, hiyo rangi nyekundu ni msisitizo/mkazo tu.
 
Niliposama heading niliona kama umesema 'Naja jinsi nilivyozaliwa', hah nikasema makubwa haya vipi tena mkuu!! Kumbe siyo hivyo.
Karibu sana jisikie upo JF.
Karibu sana
 
Back
Top Bottom