Naitaji mbegu za Mabiga n

Naitaji mbegu za Mabiga n

A man with no name

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2017
Posts
1,131
Reaction score
1,598
Wakuu kama kichwa kinavyo jieleza naitaji kununua mbegu za maboga kwa mwenye nazo naomba anifahamishe anauzaje kwa kilo na anapatikana wapi
Asanteni nawasilisha
 
Unanunua bei gani na unahitaji kiasi gani
 
Zimejaa madukani na masokoni yote ni wewe tu hata ukitaka magunia,bei kwenye 3000 kwa kilo hivi,ukitaka unga wa maboga upo sokoni ni wwe tu
 
Nimefungua nyuzi kujua mabiga ni nini
 
Last edited:

Similar Discussions

Back
Top Bottom