N NASEEB HASSAN Member Joined Oct 7, 2017 Posts 42 Reaction score 27 Oct 13, 2017 #1 Naitaji kiwanja mwanza kati ya kirumba,kitangiri,ghana,bwiru,na elemela pesa nilio nayo ni million 6 tu niko siriasi kabisa kama unacho nicheki inbox nikupe no yangu tuwasiliane
Naitaji kiwanja mwanza kati ya kirumba,kitangiri,ghana,bwiru,na elemela pesa nilio nayo ni million 6 tu niko siriasi kabisa kama unacho nicheki inbox nikupe no yangu tuwasiliane
Humble African JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 4,781 Reaction score 14,439 Oct 13, 2017 #2 pettymarcel uza Kiwanja hapa.
mkalusanga JF-Expert Member Joined Nov 12, 2013 Posts 387 Reaction score 469 Oct 13, 2017 #3 Mkuu Ebu Nicheki PM Ninacho Kiko KISEKE
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 25,443 Reaction score 46,198 Oct 14, 2017 #4 Nenda Buhongwa Bulale kuna vya kutosha ila tatizo umeme na maji.
sirajj johnn JF-Expert Member Joined Apr 5, 2017 Posts 1,554 Reaction score 868 Oct 14, 2017 #5 Kuna kiwanja nyamadoke kimepimwa million 5 Piga 0766-195115 tufanye biashara Kuna kiwanja kahama kimepimwa bei million 5 na nusu wahi kiko sehemu nzuri sana Huduma zote zipo piga 0766-195115 ahsante
Kuna kiwanja nyamadoke kimepimwa million 5 Piga 0766-195115 tufanye biashara Kuna kiwanja kahama kimepimwa bei million 5 na nusu wahi kiko sehemu nzuri sana Huduma zote zipo piga 0766-195115 ahsante