Naitaji kiwanja Mwanza nina 6m

NASEEB HASSAN

Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
42
Reaction score
27
Naitaji kiwanja mwanza kati ya kirumba,kitangiri,ghana,bwiru,na elemela pesa nilio nayo ni million 6 tu niko siriasi kabisa kama unacho nicheki inbox nikupe no yangu tuwasiliane
 
Nenda Buhongwa Bulale kuna vya kutosha ila tatizo umeme na maji.
 
Kuna kiwanja nyamadoke kimepimwa million 5
Piga 0766-195115 tufanye biashara

Kuna kiwanja kahama kimepimwa bei million 5 na nusu wahi kiko sehemu nzuri sana Huduma zote zipo piga 0766-195115 ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…