Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,882
- 2,761
Siku ambayo akina shimbo et al watampigia Slaa saluti kama amiri jeshi mkuu. Siku ambayo jeshi la polisi litafuata amri ya rais mpya. Siku ambayo uwt watakuwa chini ya uongozi mpya. Siku ambayo wahariri uchwara watajiuzulu kwa manufaa ya umma. Siku ambayo ccm itakuwa chama pinzani. Ila zaidi...siku majeshi yetu ya ulinzi na usalama yatakapotoa salam ya utii kwa rais Dk. W. Slaa