Naishi lakini nina hofu

Hilo jambo unalozungumzia halipo ktk kamusi yetu wTZ..

Lukaku marata " soma hapo juu na tuchukue hatuwa ya kusaka au protect Co.yako.."
huo ni mti unaokupa kivuli na matunda ya maisha... jitume/pambana/wasaidie.. usiogope usibebe hofu bure!!
 
Umejuaje kama haipati faida wewe ni muhasibu wa hiyo kampuni unajua unachofanya ndiyo maana unajihami sasa siyo?
 
Ila watu bwana hamuwezi hata kushukuru Mungu nikujilalamisha tu muda wote?hela wanazo kulipa ww wanazipata wap?km unalipwa kika mwezi ujue kampuni inachanzo cha mapato kingine ambacho hukijui.na si lazima ufanye kazi uliyo somea.
Wenzie tuko mjini, familia kusomesha tunakopa mpaka magengeni mshahara laki 5. SASA jaribu uache hiyo kazi.
 
Mtumaini Mungu, Atakulinda na Kukuongoza.
 
Nilishawahi kujaribu kutoa ushauri na namna bora ya kufanya kutokana na uwezo wangu ili tuanze kupata faida ila maboss hata hawana time
Ukiona wewe ndio maana upo hapo bado na unalipwa, piga kazi, maisha yapo pote.
 
Umeongea point sana ndugu yangu

Financial literate ni muhimu sana sana. Vitabu ulivopendekeza ni nguzo kuu muhimu sana ktk kupata maarifa ya elimu ya fedha

Binafsi hivi vitabu viwili vya Rich Dad Poor Dad na The Richest Man In Babylon VIMENISAIDIA SANA
 
I try to save but what i am worrying about siku company ikifungwa sijui itakuwaje

Hayo ya itakuwaje, muachie Yesu. Mwokozi wa Maisha yako.
Tambua hata ukifa leo, wanao wataishi tu. MUNGU alikwisha waandalia wataishije.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…