buhoro ksl
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 248
- 246
Kwanza nitoe pole kwa serikali hii ya awamu ya tano kwa kuendesha mchakato huo wa kuwaandikisha na kutoa vitambulisho, kwani waliufanya kwa kukurupuka Sana. Kuna mikoa kadha Kama Kigoma, Katavi, Tabora na Kagera mchakato umefanyika hovyo hovyo na kwa uharaka mno, wakati ilitakiwa mikoa hii iwe chini ya uangalizi wa Hali ya juu. Warundi, Watusi wamepata vitambulisho kirahisi Sana, sanasana mikoa ya Katavi na Tabora ambako Kuna makambi ya muda mrefu.
Je? Tunaandaa taifa la namna gani?, Unafikiria huko mbeleni watoto wa hao wakimbizi hawatapata kuwa viongozi na kuiuza nchi. Maana naamini mtoto wa mkimbizi ni mkimbizi.
Ningependa kutoa ushauri kwa NIDA jinsi inavyotakiwa ifanye.
Kwanza,
Kwa mkoa tajwa Hapo juu, naishauri serikali wapeleke vitambulisho vyote mkoani Kigoma, yaani vipelekwe kwa ofisi za kata kwa kila muhusika wa kata hiyo. Na kila anayechukua kitambulisho athibitishe kuwa yeye ni mzaliwa wa Kijiji na kata hiyo na awe anatambuliwa na mwenyekiti na balozi wa nyumba kumi. Kwa maana kuwa, hao warundi na watusi waliopata vitambulisho uchochoro wao uliofanya wapate vitambulisho walijaza ni wazaliwa wa Kigoma, kwahiyo serikali ikikataka kuwabaini itumie njia hiyo.
Kuwa mzalendo wa nchi yako.
Je? Tunaandaa taifa la namna gani?, Unafikiria huko mbeleni watoto wa hao wakimbizi hawatapata kuwa viongozi na kuiuza nchi. Maana naamini mtoto wa mkimbizi ni mkimbizi.
Ningependa kutoa ushauri kwa NIDA jinsi inavyotakiwa ifanye.
Kwanza,
Kwa mkoa tajwa Hapo juu, naishauri serikali wapeleke vitambulisho vyote mkoani Kigoma, yaani vipelekwe kwa ofisi za kata kwa kila muhusika wa kata hiyo. Na kila anayechukua kitambulisho athibitishe kuwa yeye ni mzaliwa wa Kijiji na kata hiyo na awe anatambuliwa na mwenyekiti na balozi wa nyumba kumi. Kwa maana kuwa, hao warundi na watusi waliopata vitambulisho uchochoro wao uliofanya wapate vitambulisho walijaza ni wazaliwa wa Kigoma, kwahiyo serikali ikikataka kuwabaini itumie njia hiyo.
Kuwa mzalendo wa nchi yako.