Nairobi mida hii, walinda legacy Kayole

Nairobi mida hii, walinda legacy Kayole

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,693
Reaction score
21,765
Watasema mmiliki wa hii chuma ni Humphrey Polepole kumbe wapi ni bwana Njoroge.

Chuma imesimama kabisa na hapa ni Nairobi.

FB_IMG_16892647062974334.jpg
 
Tanzania yenye laana!

Ikipata Rais wa kweli, mzalendo, mpemda nchi na mleta maendeleo ya kweli, watanzania husema hawamtaki

Haya sasa inatulazimu tumpende aliyepo sasa hata kama anaharibu mara mia zaidi
 
Back
Top Bottom