Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,900
Kwanza kabisa nikiri hii ndio simu yangu ya kwanza yenye 4G internet yenye kasi sana.
Inakaa na chaji siku 2 with data on.
Inatoa picha nzuri sana usiku.
Ina camera 4.
features zake ndio hizi.
Inakaa na chaji siku 2 with data on.
Inatoa picha nzuri sana usiku.
Ina camera 4.
features zake ndio hizi.