Naipenda sana CCM, hutaki acha

Naipenda sana CCM, hutaki acha

Hiki ndio chama pekee kinachojali maslahi ya wanyonge.maskini na walalahoi. Nawashauri Watanzania mliodanganyika na wapinzani, muondoke huko.

Hao ni walaghai na mabaka uchumi.

CCM daima
Ulisharogwa siku nyingi!! Hatukushangai !!!
 
Hahaha! Wewe ni mke mdogo nadhani, maana unaonekana bado una mahaba mazito sana na mumeo. Anyway, nimechoka kuisikiliza mipasho yako ya kwenye kanga, njoo na hoja za maana kumtetea mumeo labda nitakusikiliza.
Vipi, fungate ilikuwaje US? Msalimie sana, kama utahitaji, nina mzigo mpya wa viagra mje mchukue mtumie.
Kumbe ujinga nao ni kipaji .
 
Unaelewa maana ya kupanic? Labda nikusaidie, kupanic ni kuogopa au kushitushwa, sidhani kama nimefikia kumuogopa mke mdogo wa Babu.
Nikuogope kwa nini? Umeanzisha kitu usichoweza kukizima halafu unajitekenya na kucheka mwenyewe?
Mwambie Mumeo arudi kwenye upadri, huku hakumfai.
Wazazi wako walifanya makosa sana kukutoa mirembe kabla hujapona ukichaa .
 
Kajifunze kusoma na kuandika kwanza halafu ndio urudi kubwaga utumbo wako hapa. Kama huna hoja, jifunike shuka ulale.
Kama watu wenye mawazo mgando humu Jf wewe mmojawapo hata akili zako zimeganda.
 
Wazazi wako walifanya makosa sana kukutoa mirembe kabla hujapona ukichaa .

Nadhani swala la mirembe tukuulize wewe maana kulipukalipuka bila hoja za msingi huwa ni dalili ya kichaa.
 
Sina muda wa kushindana mgonjwa wa akili nenda kamalize kwanza hizo dozi za ukichaa.

Mgonjwa ni wewe ambae hujui hata unachokiandika, unakurupuka tu kuandika chochote mradi umepost.
 
Hiki ndio chama pekee kinachojali maslahi ya wanyonge.maskini na walalahoi. Nawashauri Watanzania mliodanganyika na wapinzani, muondoke huko.

Hao ni walaghai na mabaka uchumi.

CCM daima
Nyie ndo wanandoa mnaotoa siri za chumbani.kumpenda mumeo/mkeo ni jambo la kawaida kuutangazia umma ni uwalakini wa ndoa yako.kama unagongwa/gonga vizuri uache humohumo chumbani au wewe ndo wale wa chumba kimoja baba,mama, watoto na dada wa kazi.utajuju
 
Kama watu wenye mawazo mgando humu Jf wewe mmojawapo hata akili zako zimeganda.

Hebu rudia kusoma ulichokiandika ndio utaelewa kuwa naposema wewe ni mgonjwa ni jambo ambalo ni la kweli.
 
Mgonjwa ni wewe ambae hujui hata unachokiandika, unakurupuka tu kuandika chochote mradi umepost.
Wenye upeo mdogo wa kufikiri kama wewe huwezi kuelewa ninachoandika hizi taarabu zako peleka huko ccm.
 
Wazazi wako walifanya makosa sana kukutoa mirembe kabla hujapona ukichaa .

Hivi bado unakaa kwa wazazi? Sikujua nazungumza na mtoto aisee. Wakati mwingine muwe mnasema, nilidhani naongea na mtu mzima aisee.
 
Wenye upeo mdogo wa kufikiri kama wewe huwezi kuelewa ninachoandika hizi taarabu zako peleka huko ccm.

Taarabu na mipasho naziona katika yale unayoandikwa wewe, zaidi ya hapo sioni la msingi. Hebu mwambie Babu nimesema akupe hoja za kujitetea uje nazo hapa.
 
Wenye upeo mdogo wa kufikiri kama wewe huwezi kuelewa ninachoandika hizi taarabu zako peleka huko ccm.
Taarabu na mipasho naziona katika yale unayoandikwa wewe, zaidu ya hapo sioni la msingi. Hebu mwambie Babu nimesema akupe hoja za kujitetea uje nazo hapa.

Njoo kivyovyote tu kama kauli mbiu ya kujaa kivyovyote inavyosema, maana inawezekana umeshuka South Africa juzi na umekuwa ukijaribu kukisahau kiswahili kwa muda mrefu. Watu kama wewe mnaudhi sana
 
Back
Top Bottom