Naipenda sana CCM, hutaki acha

Naipenda sana CCM, hutaki acha

Mimi mwenyewe naipenda sana CCM ikitokea baba yako mzazi akabahatika kupata nafasi ya uongozi ndani ya CCM basi familia yote mnakuwa mmepata haki miliki ya uongozi ndani ya CCM na ndani ya serekali ya CCM hakuna mtu mwingine anayeweza kufanya fyoko nje na familia iliyobalikiwa na CCM.
 
Mwananchi-cartoon-040215.jpg

Jamaa yangu punguza hasira WAMESHAELEWA!
 
hapa naahidi mbele ya chama ,mapinduzi ni ya kulinda mpaka kufa.....


mleta mada lazima kapiti chipukizi i say..
 
Nani? kama CCM? ata me naipenda Mtaani kwangu wote wanajua me CCM na nimekua maarufu kupitia CCM
 
Ndio wamekutuma useme ujinga wako huo kawaambie wananchi wamebadilika sio hvyo unavyozani
 
Back
Top Bottom